Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa inawezekana ni kiki tu maana mjini mambo ni mengi, ila asingeikataa hiyo ingekua habari kubwa zaidi.Uko sahihi!Wadada wa mjini wanapenda sana publicity
🤣🤣🤣🤣Hata wanaombeka basi??Uliwaomba wakakunyima?
Iache ipewe majina yote mkuu, ungeuza shamba then ukijatuliza akili binti hayupo🤣Hatari sana
Ila hayo mambo sio ya kuchekana, mwenyewe nakumbuka mwaka 72 nilitaka kutoa shamba la familia kwa bibie mmoja miaka ile.
Isingekuwa ndugu kushtuka mapema, hakyanani Shamba lilikuwa linaenda 😅
Hakuna jipya, na wanaume sio wajinga.Hilo ndio lengo kuu haswaa
Hahaha...............hatari sana, enzi za Ujana niliwahi kumnunulia Mchumba baiskeli kama huyo jamaa alivyofanya, lakini hadi leo hii nikikumbuka roho inaniuma bado 😅Babu na wewe Nini?wewe umeshazeeka umekuwa kibogoyo,waache vijana wavunje mifupa meno bado Iko 😁😁😁watu Wana pesa zao mjini halafu sio wabahili kama Robert Heriel Mtibeli na nduguye Extrovert
Safi sana...watunze familia zao🤣🤣🤣🤣Hata wanaombeka basi??
Hata feminists wanaona hii imezidi, unashindwa hata kujua katika maboyfriends zako nani anajiweza kidogo kweli, walipangwa wengi kwa style hii.Mafeminist ya jf yatakuja hapa na kumlaumu jamaa kwamha hana upendo wa kweli kwanini kama "anampenda asimpe tu"
kwa mafeminist wao kila blame huitwist kwa mwanaume yani "kila kosa hua ni la mwanaume" ngoja waje uone.
nilisema hapa yatashuka mafeminist ya jf kumtetea malayer mwenzao. Mafeminist ni maproffesion blame twistersHuyo mwenzenu nae hakutaka kumpa mrembo tu Hilo gari,, masharti kama mganga wa kienyeji, Extrovert umeona huku
Yaani cuzo sisi tu ndio tuko nyumanyuma,watu siku hizi wanapambana Kwa mbinu zote wafahamike sijui wanataka deal za matangazo?Sahihi Cuzo....
Watu wanatafuta Publicity kwa kila namna....
Huyo Kiredio mwenyewe hapo yupo Location
Hatari, nahisi wengine itakuwa wanaziongezea Utamu, maana utamu wake unakuwa sio wa Nchi hii 🙌Iache ipewe majina yote mkuu, ungeuza shamba then ukijatuliza akili binti hayupo🤣
Zipo mada zenye madini kibao tu mkuu, halafu hiyo mishangazi yenyewe ipo hoi siku hizi. Lipo moja hapa nalilia mingo, nishaliambia mimi mzee wa hovyo ndio tunawezana linacheka tu🤣nilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA
Huna lolote unajishaua, umewezaje kuchangia hapa?nilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA
Hahaha...................hatari 😅Mimi hata sisemi lakini nimekoma
Bora nimtolee Yesu sadaka😂Hahaha...................hatari 😅
hizi ndio mada za kujadili sasa.....kuna limoja nalifukuzia hapa ni lijane linaniamba ila ww si mdogo wangu tena wa mwisho kabisahta ndevu hauna 😀Zipo mada zenye madini kibao tu mkuu, halafu hiyo mishangazi yenyewe ipo hoi siku hizi. Lipo moja hapa nalilia mingo, nishaliambia mimi mzee wa hovyo ndio tunawezana linacheka tu🤣