digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Hayo mambo muhimu kajadili na familia yako,nyie ndo mnaokufa mapema,kazi na dawa,wakati mwingine lazima burudani kidogonilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA