Watu wanatoa majumba na magari expensive kuliko hilo. Acha roho mbaya.Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani π
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi
We ndio Mzee wa kwanza kupenda wazeeπ€£π€£π€£Mimi najua tu wazee wenzangu wana namna zao nzuri za kunifurahishaπ€£π€£nikitoka hapo nafsi na mwili vyote vimepoa!!
Taja boyfriend, utaje Ben baba yako πππ.Nmeona interview yake clouds anadai benny n jina la baba yake, kuna ukakasi ila naona amepata cha kumpa umaarufu.
Huyo Mzee mwenzio Grahams katoa Siri za kambi mpaka anywe dawa za presha na ajichome insulin ndio kasema anakuwa poa,,π πKwa hizi digrii zetu za Mzumbe wanadhani hatujui sio?π€£ sema vinapata bakora za kutosha tu manake bado magonjwa nyemelezi hakuna. Mzee mwenzangu Grahams kathibitisha hilo π€£
Wanajitajidi sanaDaaah, hata hivyo dada zetu kwa sasa hawapo nyuma kabisa.
Mimi Mama yangu Kwa Sasa nimemuwekea kautaratibu, Kila iwapo Ijumaa, najitahidi Nimtumie Laki Moja.Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani π
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Sawa Legendary...Kwa kweli, wala sitanii, kwa age yangu nikipata 35-40 hivi najua kabisa napata value for my resources..kabisa yani!
π€£jau kweli papa tu unahonga kipiraMkuu,
Nguvu ya papa ni kubwa sana, asikwambie mtu.
hahahahahaha wanaume si wajingaHakuna jipya, na wanaume sio wajinga.
Wanakula ccm, wanalala chadema