Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanatoa majumba na magari expensive kuliko hilo. Acha roho mbaya.Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani 🙌
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi
We ndio Mzee wa kwanza kupenda wazee🤣🤣🤣Mimi najua tu wazee wenzangu wana namna zao nzuri za kunifurahisha🤣🤣nikitoka hapo nafsi na mwili vyote vimepoa!!
Taja boyfriend, utaje Ben baba yako 😀😀😀.Nmeona interview yake clouds anadai benny n jina la baba yake, kuna ukakasi ila naona amepata cha kumpa umaarufu.
Wanajitajidi sanaDaaah, hata hivyo dada zetu kwa sasa hawapo nyuma kabisa.
Mimi Mama yangu Kwa Sasa nimemuwekea kautaratibu, Kila iwapo Ijumaa, najitahidi Nimtumie Laki Moja.Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani 🙌
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Sawa Legendary...Kwa kweli, wala sitanii, kwa age yangu nikipata 35-40 hivi najua kabisa napata value for my resources..kabisa yani!
🤣jau kweli papa tu unahonga kipiraMkuu,
Nguvu ya papa ni kubwa sana, asikwambie mtu.
hahahahahaha wanaume si wajingaHakuna jipya, na wanaume sio wajinga.
Wanakula ccm, wanalala chadema