😂trsetrseetrseeetrseeeeetreeeeehh....
View: https://youtu.be/ZFv4jnFh-Pg?si=jHxgMeMiFpAmN2Rj
Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.
Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.
Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.
Chanzo: Global TV Online.
Yaani ht mie ndipo naendaga huko nasoma rangi zao halisiBff km kuna mtu anakunyapia wewe nenda kwenye uzi wa kimasihara na wa fantasy uko utaona rangi zao halisi 😂😂😂😂
Jana nikamkuta babu yako kuleBff km kuna mtu anakunyapia wewe nenda kwenye uzi wa kimasihara na wa fantasy uko utaona rangi zao halisi 😂😂😂😂
Au ngoja nikitulia niende nikaendeleee kusoma maana napitaga mule...niliona fantasy yako ya chabo 😆😆😆Nikitulia nitakutag ila usiende kufuta sasa 😂😂😂
Ndo mitaa yake ya kujidai 😂😂😂Jana nikamkuta babu yako kule
😂😂😂😂 kuna shosti yangu mmoja aliniitaga tukamchabo mama yake na step faza wake!!! Aiseee nilishtuka ile sikuAu ngoja nikitulia niende nikaendeleee kusoma maana napitaga mule...niliona fantasy yako ya chabo 😆😆😆
Unaye 😂😂😂Sina hata mmoja mkuu, nipo nipo tu hata sieleweki.
Uliona mambo hujawahi ona 😆😆😆😆me Kuna watu nikionaga natamani kuwapiga chabo😂😂😂😂 kuna shosti yangu mmoja aliniitaga tukamchabo mama yake na step faza wake!!! Aiseee nilishtuka ile siku
🤣🤣🤣🤣 hapana we. Mie ninae mmoja tu. Ila sio kujaribiwa hivyo aisee. Ningejibu am single nikapita hivi...Naamini hata wewe hili swali lingekukosesha Harrier🤣🤣🤣
Babu na wewe Nini?wewe umeshazeeka umekuwa kibogoyo,waache vijana wavunje mifupa meno bado Iko 😁😁😁watu Wana pesa zao mjini halafu sio wabahili kama Robert Heriel Mtibeli na nduguye Extrovert
🤣🤣🤣🤣🤣Babu bwana unazinguaWazee tunatofautiana, wengine umri umesogea zaidi 😅
Unajua siku zote nakupenda,tatizo lako hapo kwenye upareee🤦🤦🤦😁Utanipata tuu.
Najua unanipenda na ubahili wangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ĺ
Ungeniaibisha sana asee!🤣🤣🤣
Unajua siku zote nakupenda,tatizo lako hapo kwenye upareee🤦🤦🤦😁