Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Uliona mambo hujawahi ona [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]me Kuna watu nikionaga natamani kuwapiga chabo

Niliona kweli L ni chizi anamchabo maza ake [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema tulikua watoto Mungu atusamehe!!
Yule mzee ana bonge la mkia km la punda afu jeusiiiii tiii!!! Yule baba sijui mjaluo?
na ule utoto had usiku niliweweseka
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sasa mambo gani hayo ya kufanyiana hivyo!! Kama hutaki kunipa si unasema tu jamani.
Ole wako🀣🀣🀣
Yaani nacheka hapa sipati picha ambavyo ungeingia chaka🀣🀣
 
Tuwekee video tufaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…