Hautahitaji kupigana bali kazi yako ni kumtukuza Muumba tu, vita si vyako bali ni vya bwana akoππππ€£π€£π€£π€£ dah hii battle siwezi
π€£π€£π€£π€£π€£Uwii Kwa kauli hii ngoja uone majibu ya mtu fudengeKaa kwa utulivu, hakuna anaweza kuivuruga hiyo medulla, labda mimiπ«£πππππππ
Mkuu kashasema mie nakanushajeThibitisha/Kanusha!!
Nimeshangaa sanaπ€£π€£Nimenyang'anywa, imekuwa ghafla sanaπ
Mkuu nini sasa?Umekubali kirahisi mno, huyu jamaa anatumia mzizi gani?π€£
Mbona Hujawahi niambia hili wa udugu wangu?ππππ km kawaida yako kaka angu, kwenye kuwapanga hujawai kufeli
Usikubali hvhv we pigana hadi ushindeNimenyang'anywa, imekuwa ghafla sanaπ
Mungu naye ameamua anipeπππLegend tulia kwanza, nimeamua kumuachia Munguπ€£π
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nimecheka kiukweli.....na ninavyopenda atakuwa role model wanguUsijigeuze Faiza wa sugu eee
Mtie moyo asijezimiaUsikubali hvhv we pigana hadi ushinde