Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hautahitaji kupigana bali kazi yako ni kumtukuza Muumba tu, vita si vyako bali ni vya bwana ako😂😂😂🤣🤣🤣🤣 dah hii battle siwezi
🤣🤣🤣🤣🤣Uwii Kwa kauli hii ngoja uone majibu ya mtu fudengeKaa kwa utulivu, hakuna anaweza kuivuruga hiyo medulla, labda mimi🫣😝😝😝🏃🏃🏃🏃
Mkuu kashasema mie nakanushajeThibitisha/Kanusha!!
Nimeshangaa sana🤣🤣Nimenyang'anywa, imekuwa ghafla sana😭
Mkuu nini sasa?Umekubali kirahisi mno, huyu jamaa anatumia mzizi gani?🤣
Mbona Hujawahi niambia hili wa udugu wangu?😂😂😂😂 km kawaida yako kaka angu, kwenye kuwapanga hujawai kufeli
Usikubali hvhv we pigana hadi ushindeNimenyang'anywa, imekuwa ghafla sana😭
Mungu naye ameamua anipe😂😂😂Legend tulia kwanza, nimeamua kumuachia Mungu🤣😝
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka kiukweli.....na ninavyopenda atakuwa role model wanguUsijigeuze Faiza wa sugu eee
Mtie moyo asijezimiaUsikubali hvhv we pigana hadi ushinde