Mama wewe tulia kama unanyolewa sweetheartUsikubali hvhv we pigana hadi ushinde
Pole kuachwa inauma sana....Yote namuachia muumba, naanza upya, sijawahi kuchoka kuanza upyaπ€£π€£
Hee ulitaka uwe na wangapi?Tutazungumza maana Nina maumivu ya moyoni ya kuachwa ghafla...
The one and only G.Hee ulitaka uwe na wangapi?
UDSMChuo gani hicho wanafanya mahafali mwezi huu was kumi? Au sio chuo kikuu au kiki ?
Mpenzi wako si huyu?Unajua siku zote nakupenda,tatizo lako hapo kwenye upareeeπ€¦π€¦π€¦π
ππππ akuuu me nasemea tyuuu!!!Mbona Hujawahi niambia hili wa udugu wangu?
Unafiki wako utashindwa tu, nilikutetea ukitokea kwa mzungu kichaa leo unanisaliti???ππππππ akuuu me nasemea tyuuu!!!
Ila dada una moyo, kaka anaparamia mademu humu balaaπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Wivu huo πππView attachment 2786605
Mpenzi wako huyo ni RHM
Huyo demu mhuni tu...kwa Nini amtaje baba ake? Kwani boyfriend wake hamjui? Eti privacy, mtu anakununulia gari unamficha? Demu ana msururu sema bac tu jamaa ana mpendaNmeona interview yake clouds anadai benny n jina la baba yake, kuna ukakasi ila naona amepata cha kumpa umaarufu.
π€£π€£π€£π€£π€£Kumbe una wivu jamanii,,, nilikuwa sijaelewa mpare gani unamsema kumbe Robby?huyo ni Upendo wa agape bwana Lamomy ongea na shem wako basi mwambie ana moyo wanguView attachment 2786605
Mpenzi wako huyo ni RHM