Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo wewe Maria, Glenn Professor na ERoni Thomas afu tukana kaka fure me Lulu diva [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya jua kali
Subiri kwanza, naangalia kwa kuibia sana...Thomas ni yule mwenye midevu? Kwa hiyo nina midwvu vile, halafu nalilia mapenzi kindezi vile 🤣🤣
 
raraa reree hiyo milikes yako nishakwambia igeuze msg za imethibitishwa mbona tunashindwa kuelewana lkn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungeandika Chelsea kumtandika Arsenal Ndio ina sound poa au ulipiga moja baridi wakati unaandika comment yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…