Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
๐๐๐๐ kwendraaaaaaKaa hivyo hivyo utaona inapoingilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐ kwendraaaaaaKaa hivyo hivyo utaona inapoingilia
Sahii nishajua kuna Joannah money monger na Joanah Wife materialWe jiheshimu wewe mndewa wewe!
Binafsi nikitumiwa zawadi hata kama sijaambiwa ilipotoka naweza kujua aliyenipa.Wanaume mkipewa zawadi muotee aliyekupa mtajua?
Ewaaaaaah,,,pesa muhimu sana kwenye kunogesha penzi....mlaze na njaa huyo wife material uone moto wake๐คฆSahii nishajua kuna Joannah money monger na Joanah Wife material
Tatizo naitwa sana kubet๐๐๐
Acha tabia mbaya ๐Bandika bandua
Naipenda jf ni kama ile Isidingo ya kale๐Mkuu, mimi na wewe haijawahi kutokea๐๐ sema labda miaka ile..haha!
๐๐๐๐ sisy Joannah kweli ofa zote hizi umekataa?? Kweli jua lilivyo kali unangโangโania kuzurura samvula chole Unaacha kwenda kupumzika Parii?!!We mwanamke acha Vimbwanga,yaani niwe tajiri na mtu ninaye miliki BMW JF nzima?,Usinifanyie hivyo tafadhali!
Kweli,Mungu kanibariki na mimi namiliki tugari ikiwemo Mashine BMW ila mimi sina utajiri wowote,mimi ni mtu wa kawaida kabisa!.
By the way
Rafiki yako Joannah aliniambia anaye mpenzi wake na wanapendana sana,hivyo si mwanamke wangu,huwa naheshimu mahusiano ya watu kama ambavyo nitapenda naya kwangu yaheshimiwe!.
Hatufahamiani but nilimpa offer Joannah achague sehemu yeyote atakayo ndani ya nchi na nje ya nchi ningemepeleka,kabla ya hapo nilipanga nimepeleke Ngorongoro akaenjoy,pia ningemnunulia usafiri wa kuzungukia mjini ili kulikwepa Jua,nilipanga nimnunulie Ka-IST angalau na yeye alikwepe Jua la Dar lakini haikuwa bahati yangu nikakuta amewahiwa!.
Hivyo ukiendelea kuniita shemeji utakuwa unanikosea kwasababu Joannah ni mke wa mtu!.
Nimeshangaa imefikaje hapa๐คฆNaona umeokota pini yako
Na tulivyo maboya hata wenyewe wameshindwa kujuana.L
Alikuwa kawapanga kweli hadi jina la aliyemnunulia gari hamjui.
Tatizo naitwa sana kubet๐๐๐
WAPARE.Jamaa anasema tunamgandamizia๐๐๐
Maisha lazima yasonge, sasa uliniacha utafikori ntabaki mnyonge?Acha tabia mbaya ๐