Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Ha ha ha ha ................si kwa umri huu Mjukuu, maana Jogoo mwenye anawika mara tatu kwa Mwaka kama yule Jogoo aliyewika wakati Petro ana mkana Kristo 😅
Kwa kauli hii Sasa Babu inabidi umrudie Muumba Kwa sala na toba maana hapo tayari una uraia pacha,wa duniani,na wa mbinguni....fanya TOBA babu
 
Kwa kauli hii Sasa Babu inabidi umrudie Muumba Kwa sala na toba maana hapo tayari una uraia pacha,wa duniani,na wa mbinguni....fanya TOBA babu
Kwa kweli Mjukuu, lakini mbona Wazee hatuna dhambi nyingi kama za Vijana wa leo..........maana enzi zetu ilikuwa missionary position, ninyi mnatumia doggy

Sisi tulitumia Wine 🍷 ninyi mnatumia Serengeti lager beer 🍺

Kuweni kama sisi Wazee jamani 🤪
 
Back
Top Bottom