BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Ao wanaojidai wanaishi marekani,uko waliko wanatia huruma tu,kuishi marekan sio ndo umemaliza,..unaweza ona Sie tunaoishi uku kwa mtogole bora ata yetu..wao ukakasi mtupuSijui kwanini nimecheka sana kwa hii comment.. Anyway umdhaniaye ndiye kumbe siye.. Wacha na mimi niendelee kuliwa na nzi huku mpiji majohe