Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe namba yake
Umesema kweli fake kila kitu huyu dadaEish! Fake fake fake fake!
She is sooooo fake! Super fake! Fakest of all!
Nyie mnadhani marekani is about kuamka kwenda gym na kula bata kama anavyofanya??? Muulizeni anafanya kazi gani akiwaambia kazi yake natembea uchi Posta hadi Kibamba.
Huyu anapiga picha hotelini anajidai kwake,?? Huyu anapiga picha kwenye gym za apartments anajidai ni gym ndani kwake??? Aisee bora kuwa maskini na akili kuliko wajinga wengine duniani
Hana tofauti na Rachel Temu, kupenda maisha ya juu at any cost.
Peachtree city down south? Ni zaidi ya hizo milesCollege park na Peachtree kama 9 to 11 miles. Nilifika hapo zamani sana.
Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
Shortly hana kazi anaishi kwa nguvu ya wapopo. I would HATE mdogo wangu aniambie stella ni role model wake, coz kwa shauzi alizonazo angekuwa na kazi ya uhakika , msingeacha kuonyeshwa! Hana karatasi nani atampa kazi? PleaseNajua maisha ya US vyema. Yeye kaamua kuonyesha upande mmoja wa maisha- upande wa Bata. Kaonyesha kile tu ambacho anataka watu wajue kuhusu yeye. Kama kuna mtu anadhani US ni bata siku nzima bila kazi atakua mjinga, hilo sio kosa la Stella.
Huko huko hadi wakamchagua congresswoman from SomaliaInaonekana unamjua vyema huyu mdada[emoji1]. Yupo Minneapolis na wa Somali au vijijini huko. USA nishaisahau[emoji1]
Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
Daaa kwaiyo mpaka aende Jim ndio apate sheep zoezi jinsi ya kukalia machine Na staili ya ujazweUkitazama vyema pua yake imepinda upande mmoja
Hana makaratasi huyo...hawezi kutoka America
Mbona wengi hao maana millionea ni mtu mwenye million ila kwa hapa tz sema awe billioneaSitaki mizigo bana kawe milionea kwanza ndo urudi
Hivyo hivyo, bilionea aingie kwenyw list ya forbes. Sio nisote mie kuntunza mwanaume mzima na ndevu zakeMbona wengi hao maana millionea ni mtu mwenye million ila kwa hapa tz sema awe billionea
Anataka afe kabla ya kufika hata nusu ya life expectancy yake! Kumtegemea kiuchumi mkeo ni heri usitishe maisha yako kiroho safiHivyo hivyo, bilionea aingie kwenyw list ya forbes. Sio nisote mie kuntunza mwanaume mzima na ndevu zake
WordEish! Fake fake fake fake!
She is sooooo fake! Super fake! Fakest of all!
Nyie mnadhani marekani is about kuamka kwenda gym na kula bata kama anavyofanya??? Muulizeni anafanya kazi gani akiwaambia kazi yake natembea uchi Posta hadi Kibamba.
Huyu anapiga picha hotelini anajidai kwake,?? Huyu anapiga picha kwenye gym za apartments anajidai ni gym ndani kwake??? Aisee bora kuwa maskini na akili kuliko wajinga wengine duniani
Hana tofauti na Rachel Temu, kupenda maisha ya juu at any cost.
Wangapi hawana karatasi na wanafanya Kazi tena za maana tu achilia mbali za kubeba box! Ubaya upo wapi Kama anaishi high life off wapopo's money. So long as haombi mtu pesa anatumia assets zake kuwanyonya wapopo I don't understand why would anybody be bothered.Shortly hana kaxi anaishi kwa nguvu ya wapopo. I would HATE mdogo wangu aniambie stella ni role model wake, coz kwa shauzi alizonazo angekuwa na kazi ya uhakika , msingeacha kuonyeshwa! Hana karatasi nani atampa kazi? Please
Mtu asiye na makaratasi hapati kazi? (ya uhakika)?Shortly hana kazi anaishi kwa nguvu ya wapopo. I would HATE mdogo wangu aniambie stella ni role model wake, coz kwa shauzi alizonazo angekuwa na kazi ya uhakika , msingeacha kuonyeshwa! Hana karatasi nani atampa kazi? Please
Mkuu umenifurahisha na nimepata maneno mapya ya kutumia, kuchapa fimbo za machoHahahaaa....happy 4th jirani.
Nitaendelea kuwatandika fimbo za macho hadi watie akili.
Eti naosha vyombo...hata kama...so what?
Majinuni kabisa hao.