Nikikukasirikia wewe ni sawa na kumkasirikia Magu. Sitakupunguzia chochote ila mimi ndo nitajiongezea nyongo. Nakupenda babu.Samahani kama nimekukwaza mpenzi. Hako kasentensi nimekatohoa toka kwa mheshimiwa sana Ben Mkapa.
BTW umenikasirikia? Niko radhi kukulipa fine in kind...
Jamani mbona hujanambia siku zote? Au hujui kupendwa raha? Nami nakupenda pia.Nikikukasirikia wewe ni sawa na kumkasirikia Magu. Sitakupunguzia chochote ila mimi ndo nitajiongezea nyongo. Nakupenda babu.
Ok. ByeWangapi hawana karatasi na wanafanya Kazi tena za maana tu achilia mbali za kubeba box! Ubaya upo wapi Kama anaishi high life off wapopo's money. So long as haombi mtu pesa anatumia assets zake kuwanyonya wapopo I don't understand why would anybody be bothered.
Isiyo na hakika (under the table and low paying jobs)Mtu asiye na makaratasi hapati kazi? (ya uhakika)?
Na kazi ya uhakika ipoje?
Na isiyo na uhakika iko vipi?
You must be sick! So dadaako akiishi maisha yake kutegemea wanaume just kuwa high profile si tatizo? Una watoto wa kike wewe? How many young women admire her lifestyle without genuinely knowing her source of brags? So wakimuuliza leo success yako umepataje aseme wapopo's money? Kaamua kuwa public so yes tutamdiscuss whether bothered or not, and You know what,? Kubishana na watu wenye views kama zako ni wastage of time. Empty headed. Endelea na shughuli zako ndugu tufanye kama hujanisoma.Wangapi hawana karatasi na wanafanya Kazi tena za maana tu achilia mbali za kubeba box! Ubaya upo wapi Kama anaishi high life off wapopo's money. So long as haombi mtu pesa anatumia assets zake kuwanyonya wapopo I don't understand why would anybody be bothered.
Hata sisi tupo Marekani tunaelewa haya mambo usitulishe matango. Itakua ulishinda lottery au uliletwa kama kiroba ukafanyiwa kila kitu so hujui side B. Watu wa namna hii mpo slow sana, vichwa havifunguki haraka comparing to your counterparts walioanza from the scratch on their own. Kazi za maana bila karatasi zipo tena kibaoIsiyo na hakika (under the table and low paying jobs)
Ya hakika (professional with benefits)
Marekani bila karatasi labda kama yeye ni exceptional na ID isiyo expire, otherwise, wale wale na yale yale
Wanyamwezi wanadatishwa na anything stupid, hamna jipya kwake so far zaidi ya kuwa cheap thot. Kina cynthia masasi walikuwa hawadatishi? At least cynthia worked.Wanawake sijui kwanini hampendani. Hapa kinachozungumziwa ni urembo kiasi cha kuwadatisha wanyamwezi. Wewe unakuja na habari nyingine ya maisha yake. Hata kama ni changudoa haijalishi kwamba sio mzuri
Ndio maana nchi haiendelei kumbeYan nmependa huo mswambwandaa
Yes najiona bora, una tatizo?Wivu kweli unamuonea kwamba kapata publicity ambayo unaona hastahili. Unakuwaje na hasira na mtu hivyo? Umemtaja na mwingine hapa somebody Temu. Anahusika vipi hapa? Why don't you mind your own business? Inaonyesha unajiona bora kuliko wao halafu badala ya watu ku-publicize watu wema kama wewe wana-publicize watu wasiostahili. Kama huna jema la kusema kumhusu ni vizuri ukafanya yako. Vinginevyo utaonekana una frustration kwa povu hilo.
Kwanini unakereka wakati mwili ni wakwake?Mi anachonikera ni anajiedit sana mpaka kero
Peleka ujinga huko nyie ndo mnafanya waafrica wanaekwa kwenye red flag! Hana karatasi ni ILLEGAL REsident, no options zaidi ya yeye kupata green card, usidanganye watu hapa. Tuje kwa lottery au kusalimia inabadilisha sheria? Nyie mtakuwa wale mnaotumia kila kitu famba mnafanya waafrica waonekane wale wale! She is Illegal no justification! Kama ana ujanja atoe pua aende hapo mexico tu!Hata sisi tupo Marekani tunaelewa haya mambo usitulishe matango. Itakua ulishinda lottery au uliletwa kama kiroba ukafanyiwa kila kitu so hujui side B. Watu wa namna hii mpo slow sana, vichwa havifunguki haraka comparing to your counterparts walioanza from the scratch on their own. Kazi za maana bila karatasi zipo tena kibao
Nasikia ndoto za kupata Noah zimeyeyuka.Hawa wa unyamwezini watapata mgao wa Noah?
Why does that bother u so much. I really don't get it. Kawahi kukuomba pesa? Anaishi illegally au otherwise is up to DHS kumfuatilia sio Mimi au wewe. Hapo hana pepa anauza sura akipata je si utatamani ardhi ipasuke ikumeze.Peleka ujinga huko nyie ndo mnafanya waafrica wanaekwa kwenye red flag! Hana karatasi ni ILLEGAL REsident, no options zaidi ya yeye kupata green card, usidanganye watu hapa. Tuje kwa lottery au kusalimia inabadilisha sheria? Nyie mtakuwa wale mnaotumia kila kitu famba mnafanya waafrica waonekane wale wale! She is Illegal no justification! Kama ana ujanja atoe pua aende hapo mexico tu!
Na kazi ya maana kwa id famba mnazotebgeneza texas na dc sio? Iki expire id yake anapewa kazi na mjomba wako? Kwendaaa!
Why niwe bothered na fake life yake??? Sir una opinion yako na nna opinion yangu juu ya show offs zake! Why dont u mind yours and i mind mines?Why does that bother u so much. I really don't get it. Kawahi kukuomba pesa? Anaishi illegally au otherwise is up to DHS kumfuatilia sio Mimi au wewe. Hapo hana pepa anauza sura akipata je si utatamani ardhi ipasuke ikumeze.
hata Kama ana maisha fekero hio sisi atujali wala haituhusu na wala haiendan na uzi ulioazishwa hapa pamezungumziwa urembo wake na ni kwel huyu dada ni mrembo na usipende kuongelea Sana mabaya ya mtu angalia na mazuri Yake. ..ACHA WIVU !!!!!Yani huyu dada ni fekero mpaka! Sema ndugu zangu watz wanadatishwa tu na picha na editing za kufa mtu. Mtu ana rent gari for $9.99 weekend offers anajidai ya kwake bado watu wanampa credit??? Kama ana jeuri ya kununua latest Cadillac Escalade kwa nini hana jeuri ya kupata karatasi? Yani fekeroooooo,
wivu???? Hahahahaaaaaaa!!! dah!hata Kama ana maisha fekero hio sisi atujali wala haituhusu na wala haiendan na uzi ulioazinywa hapa pamezungumziwa urembo wake na ni kwel huyu dada ni mrembo na usipende kuongelea Sana mabaya ya mtu angalia na mazuri Yake. ..ACHA WIVU !!!!!
kwa majina anaitwa Stella Montez, au Chagabarbie au chagaempress anayeishi brooklyn new york. Nyuma kama miaka miwili aliwahi kumdate Prezoo msanii wa maarufu tajiri kenya.
siri ya urembo wake ni mazoezi.
Basi mrembo kunywa red bull hapo jirani Kwa bill yangu. Sawa?Nawe umenikera kuniqoute