Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawatajadili bei ya mbege!Hakuna cha maana kitaamuliwa
Jinga kweli wewe na Katoro utafukuzwaHawatajadili bei ya mbege!
CCM hoyeeee teh teh teh.....Nchi ngumu!
Anapingana na raisi, maana raisi alisema kila kitu kitapandaWazo kuntu [emoji106]
Bungeni ni sehemu ya kuchakata mawazo......Anapingana na raisi, maana raisi alisema kila kitu kitapanda
Wakijadili ndio bei zitashuka? Unless wao wakubali kufyekwa mapato yao kufidia mapato ambayo serikali itapoteza in case wanaondoa au kupunguza Kodi kadhaa..Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ametoa hoja akitaka bunge liahirishe shughuli zake ili wabunge wajadili kwa kina kuhusu upandaji wa bei za bidhaa nchini ikiwemo vyakula na vifaa vya ujenzi.
Nasikia gambo atagombea ubunge kupitia ACT safari inayokujaAnapingana na raisi, maana raisi alisema kila kitu kitapanda
Kweli akili zako kama kitimoto tuHuu ni ujanja wa kutaka kuongeza siku za kukaa Bungeni kwenye mkutano huu wa Bajeti
Wenzake wako busy wana taka plate namba za magari yao ili wasisumbuliwe na polisi.. Ccm bwana!!!Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ametoa hoja akitaka bunge liahirishe shughuli zake ili wabunge wajadili kwa kina kuhusu upandaji wa bei za bidhaa nchini ikiwemo vyakula na vifaa vya ujenzi.
Kweli mkuu maana hakuna asiyejua kwamba kuna mfumuko wa Bei sio tuu Tanzania bali Dunia yote na sababu zinafahamika..Huu ni ujanja wa kutaka kuongeza siku za kukaa Bungeni kwenye mkutano huu wa Bajeti
CHAWA huyu anaupiga mwingi sana kwakweli, kwa niaba ya wa-TZ wezangu wote mliopo ndani na nnje ya JF, napendekeza awe anapewa kipato kikubwa sana kuliko CHAWA wengine wote [emoji87]Wakijadili ndio bei zitashuka? Unless wao wakubali kufyekwa mapato yao kufidia mapato ambayo serikali itapoteza in case wanaondoa au kupunguza Kodi kadhaa..
Huyu hamna mpango wa kumshambulia?Bungeni ni sehemu ya kuchakata mawazo......