Sijui ni kwa nn hii nchi inaonekana inaendeshwa na maRC wa dar na arusha? Yaani kiongozi wa serikali anatoa kauli hiyo na hadi sasa Rais hajatengua uteuzi.
Mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa anatoa kauli hiyo lakini si m/kiti wa chama taifa wala katibu wake aliyejitokeza na kulaani au hata kufuta nafasi yake kama mjumbe wa kamati ya siasa.
Si vyombo vya dola wala waziri anayekemea, wote wanapima upepo maana unaweza kujifanya kimbele mbele kukemea na matokeo yake ww ndo ukafukuzwa kazi.
Kama TRA, waziri wa fedha vs RC wa dar. Kila mtu kichwa chini. Angalau zamani walikuwa wanawafukuza waandishi wa hbr kwenye vikao vyao ili wapange mikakati yao, siku hizi hakuna ni kupasua tu ili anaejiona hana damu ayakaribie mauti.