Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Hivi kauli kama hiyo ya Gambo ingetolewa na Kiongozi wa upinzani, si angefungiliwa mashitaka na kuozea ya uchochezi na uhaini na kuozea jela??
Hivi hii nchi kwa ubaguzi unaoendelea Magufuli anaipeleka wapi, kwa mpinzani kuswekwa ndani kwa uchochezi na akiongea mwanaccm anahimizwa "dogo" wewe chapa kazi!
Hivi hii nchi kwa ubaguzi unaoendelea Magufuli anaipeleka wapi, kwa mpinzani kuswekwa ndani kwa uchochezi na akiongea mwanaccm anahimizwa "dogo" wewe chapa kazi!