josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,252
- 1,041
CHADEMA weka mwanasheria aimbe naye mahakamani. Mnatuaibisha kutochukulia hatua watu wote wanao lipuka hovyo kuwadhalilisha CHADEMA. Sweka mahakamani, kitendo cha kumfungulia mashitaka mtu (siyo cheo) itakuwa funzo kwa walopokaji wengine wakiwemo wanao lazimisha au kutoa vitisho kwa watendaji wengine kuchukua hatua za kisheria kwa wapinzani. Fungua mashitaka, wanasheria wa chama vipi???!! Ukimya wenu utawagharimu wananchi na wanachama wenu. Kukaa kimya maana yake mnakubaliana na maelekezo juu yenu wapinzani. Hivi mnajua hassle ya ruti za kesi mahakamani? Shitaki nao wapate mikiki ya kuhudhuria na kuhukumiwa. Huwezi kuwa kiongozi unaye hamasisha kutenda maovu wakati unatakiwa kusimamia sheria. Angekuwa kajamba nani au hata Lema mwenyewe katamka hivyo, angekuwa bado mtaani?????