Uchaguzi 2020 Mrisho Gambo: Kwa gharama yoyote lazima Jimbo la Arusha lirudi CCM

Uchaguzi 2020 Mrisho Gambo: Kwa gharama yoyote lazima Jimbo la Arusha lirudi CCM

Kauli mbiu ya magufuli hiyo maendeleo mtayasikia huko kwa kenyatta huku tunawekeza kwenye kutawala tu.

Yakiambiwa yameiba kura,kukimbia na viapo kupiga wapinzani yanabisha yenyewe yanatoa siri.
Kuna siku nilikaa mahala wakawa wanahadithiana kwa komfidens kabisajinsi walivyoiba kura kinondoni hadi niliona kinyaa.nashukuru mungu hakuna mtu katika familia yangu ambaye ni mwanachama au hata mpenzi wa hilo hicho chama cha mashetani na wauaji.
 
Wote tumemsikia Mkuu wa Mkoa wa Arusha akitoa matamshi ya hatari mno kuwa kwa gharama yoyote ile ni lazima jimbo la Arusha mjini lirudi CCM mwaka 2020!

Akazidi kukoleza moto katika matamshi yake kwa kuwahimiza wanaccm wawafanyie fujo Chadema kila inapowezekana

Nimekuwa nikijiuliza hivi watanzania tumefika huko??

Yaani unapotafuta madaraka ya kisiasa upo tayari kwa lolote hata kwa kufanya fujo ili malengo yako yatimie??

Yaani kwa nchi ya Tanzania hivi sasa kutofautiana kisiasa maana yake ujenge uhasama, hata ikibidi upigane na hata damu imwagike??

Tunasubiri kuona hatua atakazochukua Mwenyekiti wa Chama, Magufuli kwa huyu mtu wake aliyemteua, ili amtumbue Mara moja. Kunyamazia kauli hizo hakika nchi atakuwa anaipeleka kubaya sana

Nimekuwa nikiimagine kauli hiyo ya RC Mrisho Gambo ingekuwa imetolewa na kiongozi wa Chadema, ingekuwa tayari keshadakwa na Polisi na keshafunguliwa mashitaka ya uchochezi

Mungu ibariki Tanzania
 
Weusi waliimba"..umenipa MADARAKA YA KULEVYA.."oh baby..!!
 
"..madaraka ya kulevya.."
Wote tumemsikia Mkuu wa Mkoa wa Arusha akitoa matamshi ya hatari mno kuwa kwa gharama yoyote ile ni lazima jimbo la Arusha mjini lirudi CCM mwaka 2020!

Akazidi kukoleza moto katika matamshi yake kwa kuwahimiza wanaccm wawafanyie fujo Chadema kila inapowezekana

Nimekuwa nikijiuliza hivi watanzania tumefika huko??

Yaani unapotafuta madaraka ya kisiasa upo tayari kwa lolote hata kwa kutumia vurugu??

Yaani kwa nchi ya Tanzania hivi sasa kutofautiana kisiasa maana yake ujenge uhasama, hata ikibidi upigane na hata damu imwagike??

Tunasubiri kuona hatua atakazochukua Mwenyekiti wa Chama, Magufuli kwa huyu mtu wake aliyemteua, ili amtumbue Mara moja. Kunyamazia kauli hizo hakika nchi atakuwa anaipeleka kubaya sana

Nimekuwa nikiimagine kauli hiyo ya RC Mrisho Gambo ingekuwa imetolewa na kiongozi wa Chadema, ingekuwa tayari keshadakwa na Polisi na keshafunguliwa mashitaka ya uchochezi

Mungu ibariki Tanzania
Zingatia kanuni za uandishi hasa unapoandika kichwa cha habari. Epuka kutumia neno ALIMAANISHA wakati tayari umeshatumia maneno MAANA YAKE.
 
Zingatia kanuni za uandishi hasa unapoandika kichwa cha habari. Epuka kutumia neno ALIMAANISHA wakati tayari umeshatumia maneno MAANA YAKE.
Nyinyi CCM chekeleeni tu huo upuuzi anaoleta huyo RC wenu Gambo, kikinuka hapa nchini ujue hatuna nchi ya kukimbilia
 
Jumbo likirudi CCM Gambo ana uhakika na nafasi nzuri serikalini pamoja na pensheni nono nono.
Nafasi nzuri serikalini kwa gharama za kumwaga damu za watanzania wasio na hatia??

Hivi kweli madaraka ya kisiasa ndivyo yanavyotafutwa hivyo??
 
Niwaambieni wana Arusha, hatujali ccm au chadema lkn mtu kama huyu tumtafute yeye tumtangulize akawasalimie huko ahera.
 
Niwaambieni wana Arusha, hatujali ccm au chadema lkn mtu kama huyu tumtafute yeye tumtangulize akawasalimie huko ahera.
Hahaaaa............

Hupaswi kulipa kisasi kwa kisasi, Bali unatakiwa ufuate mafundisho ya Bwana wetu Yesu Kristo kuwa samehe Mara 7 Mara 70........
 
Kauli kama hizi za viongozi wakubwa zitaifikisha nchi pabaya.
Hii hotuba itunzwe,itasaidia "The Hague"
 
People who were born stupid think if they get power they suddenly become wise....Its hilarious!....They are still stupid as they were since day 1!
 
Kauli kama hizi za viongozi wakubwa zitaifikisha nchi pabaya.
Hii hotuba itunzwe,itasaidia "The Hague"
It is very true

Clip hii itunzwe ili siku ya siku itolewe ushahidi kwenye Mahakama ya kimataifa ya The Hague, kwa Mama Bensouda
 
Jambo la msingi sio kujiandaa kufa, Bali kujiandaa kuuana.
Mie nadhani ukondoo iwe mwisho sasa, Hakuna mwenye hati miliki ya maisha yetu sembuse hako ka Gambo?
Yeye ana jeshi na police na silaha ...
 
Kuna muda / wakati huwa mnamuonea na kumsingizia sana Rais Dr. Magufuli kwa ' Upuuzi ' tu wa ' makusudi ' wa Watendaji wake wachache. Hebu mwacheni Dr. Magufuli aongoze nchi jamani! Mmezidi sasa kumtupia kila aina ya lawama. Tubadilike!
unajua kabisa kuwa kuna watu wakithubutu kusema au kufanya jambo la karaha lazima uteuzi usitenguliwe....lakini wengine wanahimizwa kupiga kazi, sasa kwanini asitiwe lawamani?
 
Kuna muda / wakati huwa mnamuonea na kumsingizia sana Rais Dr. Magufuli kwa ' Upuuzi ' tu wa ' makusudi ' wa Watendaji wake wachache. Hebu mwacheni Dr. Magufuli aongoze nchi jamani! Mmezidi sasa kumtupia kila aina ya lawama. Tubadilike!
unajua kabisa kuwa kuna watu wakithubutu kusema au kufanya jambo la karaha lazima uteuzi utenguliwe....lakini wengine wanahimizwa kupiga kazi, sasa kwanini asitiwe lawamani?
 
unajua kabisa kuwa kuna watu wakithubutu kusema au kufanya jambo la karaha lazima uteuzi usitenguliwe....lakini wengine wanahimizwa kupiga kazi, sasa kwanini asitiwe lawamani?
Ni sahihi kabisa unachosema
 
Back
Top Bottom