Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
nadhani Tanzania ndio tunaongoza duniani kwa kuwa na viongozi wasiojielewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni mtoto sana wa mwaka 1986 ni rahisi kutumiwa kwa jambo lolote lile huwez kumkuta sadick meck sadick akiongea ujinga huo kabla ya kijiudhuru kukwepa fedheha kama hizoJambo la msingi sio kujiandaa kufa, Bali kujiandaa kuuana.
Mie nadhani ukondoo iwe mwisho sasa, Hakuna mwenye hati miliki ya maisha yetu sembuse hako ka Gambo?
Kweli kabisaaaa aiseeeHuyu jamaa ni mtoto sana wa mwaka 1986 ni rahisi kutumiwa kwa jambo lolote lile huwez kumkuta sadick meck sadick akiongea ujinga huo kabla ya kijiudhuru kukwepa fedheha kama hizo
Mrisho Gambo anajiamini kwa sababu ya Magufuli wanajiona wanaweza Fanya chochote kama Mungu
Watoto wamejua hulka ya baba, wanakwenda vile wamemjua.. Mapenzi ya Baba yatimizwe..Kuna muda / wakati huwa mnamuonea na kumsingizia sana Rais Dr. Magufuli kwa ' Upuuzi ' tu wa ' makusudi ' wa Watendaji wake wachache. Hebu mwacheni Dr. Magufuli aongoze nchi jamani! Mmezidi sasa kumtupia kila aina ya lawama. Tubadilike!
sindano inaingia hiyo eeeee!Naona hasara ya wazazi hii bora ungetolewa mimba kuliko akili hizi
Hii ndio Tanzania mpya ya Magufuli