Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Gambo ni mmoja wa watu, wasiokuwa na akili,, chadema wamuue kwa lipi hasa,?
Gambo anajua Lema anarudi kutetea jimbo, na hilo ndo linamtia wazimu kweri kweri😕
 
Gambo ni mmoja wa watu, wasiokuwa na akili,, chadema wamuue kwa lipi hasa,?
Gambo anajua Lema anarudi kutetea jimbo, na hilo ndo linamtia wazimu kweri kweri[emoji53]
Na kwa upuuzi wake huu mimi nasema aliwe tu hakuna jinsi nyingine
 
Gambo ni mmoja wa watu, wasiokuwa na akili,, chadema wamuue kwa lipi hasa,?
Gambo anajua Lema anarudi kutetea jimbo, na hilo ndo linamtia wazimu kweri kweri😕
Wapi amesema wanaomtafuta ni wa Chadema ??
 
Ndiyo ukome.
 
Muosha huoshwa
 
anatafuta huruma tu kwa wana arusha kwa sababu anajua si chaguo lao. mbunge wa ccm form rc, serikali na vyombo vyote vya dola ni ccm kisha utoe madai/shutuma hizo. Huo ni uongo uliopitiliza
 
Kijana Gumbo, usiogope, hata hapo getini wakifyatua risasi ni mwendo wa Kinjikitile. Zitageuka maji. Kuwa tu na imani thabiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…