Pre GE2025 Mrisho Gambo tulia, Makonda siyo saizi yako kisiasa - nenda kwenye profile yake utajua hujui

Pre GE2025 Mrisho Gambo tulia, Makonda siyo saizi yako kisiasa - nenda kwenye profile yake utajua hujui

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
  • Kawahi kuwa DC
  • Kawahi kuwa RC
  • Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
  • Kawahi kuwa RC.
Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.

Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.

Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
 
Ongezea
  • Kawahi kuwa DC
  • Kawahi kuwa RC
  • Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
  • Kawahi kuwa RC.
Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.

Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.

Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
Ongezea utekaji na ushambuliaji wa Lissu.
 
Itikadi na uenezi pia ilimshinda akaishia kutumbuliwa kwa heshima na kupewa ukuu wa Mkoa.

Wakati Gambo ni Mhe. Mjengoni.
Kawaambie Wana CCM wenyewe kuwa Makonda kazi ya uenezi ilimshinda uone watakavyokushangaa hadi kuchangia ambulance ya kukupeleka Mirembe!
 
hivi nyir mnaomtukuza makonda mnamtukuza kwa lipi?
makonda alihusika katika jaribio la kumwua mwanzao Lissu
makondza ameibaka elimu ana vyeti frki
au tuseme crip hizi za makonda anajifagilia makonda mwenyewe, lakini kimsinga makonda ni shenzi type tu
 
  • Kawahi kuwa DC
  • Kawahi kuwa RC
  • Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
  • Kawahi kuwa RC.
Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.

Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.

Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
Pia ndiye aliyekuwa anamtafutia Waganga Jiwe ili kujizindika, kweli bhana hamuwezi
 
hivi nyir mnaomtukuza makonda mnamtukuza kwa lipi?
makonda alihusika katika jaribio la kumwua mwanzao Lissu
makondza ameibaka elimu ana vyeti frki
au tuseme crip hizi za makonda anajifagilia makonda mwenyewe, lakini kimsinga makonda ni shenzi type tu
Jina lake halisi ni Daudi Bashite
 
  • Kawahi kuwa DC
  • Kawahi kuwa RC
  • Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
  • Kawahi kuwa RC.
Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.

Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.

Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
Mavyadema tu ndo hayatokuelewa
 
Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.

Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
Sasa yeye Gambo kashafuatilia vyeti vya Bashite na anavijua kua DAB elimu yake ina mashaka na akampasulia yai hapo hapo
 
  • Kawahi kuwa DC
  • Kawahi kuwa RC
  • Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
  • Kawahi kuwa RC.
Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.

Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.

Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
Ukisha kunywa supu ya utumbo maongezi yako ni Utumbo tupu
 
Back
Top Bottom