zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Umesema kwamba?Ukisha kunya supu ya utumbo maongezi yako ni Utumbo tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema kwamba?Ukisha kunya supu ya utumbo maongezi yako ni Utumbo tupu
Makonda ni bonge moja la populist na kilqza! Mrisho ni mnafiki na tahira!Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.
- Kawahi kuwa DC
- Kawahi kuwa RC
- Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
- Kawahi kuwa RC.
Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"
Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.
Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.
Maajabu... ccm hakuna yeyote anapaswa kutetewa na wananchi.Hii nchi bana, yaani mtekaji ambaye alitakiwa kuwa jela, anapata watu wa kumtetea
Hahaha alianza kutunishiana na watu wa JK kosa kubwa sana alilofanya mistake kubwa mno wakamlamba kakae Arusha huko sasa huko nako anataka kutibua tena DAB angetulia tu yeye anajijua elimu yake yenyewe ina mashaka sasa ya nini kusumbuana na wenye elimu zisizo na mashaka, yaan watu wa Arusha waingize kilaza Bungeni kweli? DAB anataka kwenda Bungeni hio ndio ndoto yake kubwa aingie Bungeni apewe uwaziri Mkuu au apewe uwaziri wa Fedha hizo ndio ndoto zake kubwa hakuna kingine ila njia ya kuingilia Bungeni ndio anaikosa Kigamboni alikatwa Faustine akapeta nikajua sababu Faustine ame rest in peace basi DAB ataenda tena Kigamboni Dar kwa wababe wake aliozinguana nao waliomfanya akachomolewa Uwenezi na kutimuliwa aende Arusha ila wapi DAB anataka aingie Bungeni kupitia Arusha anazinguana na Gambo sasa ili tu aupate ubunge Arusha DAB anataka kuingia Bungeni na akiingia Bungeni atataka kua Waziri ila hatoishia hapo mwisho DAB atataka akae kwenye kile kiti kikuuHaikumshinda labda utakua bawa la wale vyadema walevi
Hii profile ni kubwa sana na kila ashikapo nafasi yoyote hutolewa watu wakiwa na kiu nae. Huwa hawataki aondolewe.
- Kawahi kuwa DC
- Kawahi kuwa RC
- Kawahi kuwa Mwenezi Taifa
- Kawahi kuwa RC.
Soma Pia: Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"
Fuatilia wakati akiwa Itikadi na Uenezi Taifa - kazi aloifanya kwa muda mfupi iliomgeza watu wengi kuipenda CCM - hakuna alipopwaya.
Ukienda na mdundo wa ngoma yake utaangukia mbali.