RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.
Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.
Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.
Maendeleo hayana vyama!
Soma pia > RC Gambo aumbuka. Vijana wa CCM Arusha wamshambulia mitandaoni, aamua “ku left “
Hahahaaaa.........!Sasa amekuwa mchawi yeye.
Huyo mzee Mayalla mjanjamjanja tu bora Magu ampatie udiwani wa Viti maalumuNyuzi za ramli tena? Ramli ipi sasa? Chonganishi au patanishi?
Mwambie achukueYani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu asubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaa
Nadhani kila mwenye macho ameona kilicho tokea. Mungu huyu tumuogope sana.Huyu Gambo Mungu msamehe ila usiache mjibu kabla ya huwo uzee na isiwe kwa kificho watanzania wote waone ili sote tujifunze ktk hili.
Kwa hiyo yeye alikuwa sawa tu kuwapelekesha wateule wa Mhe Rais kama yeye alivyoteuliwa?RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.
Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa DSM vijana hawakujitokeza kumtetea. Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.
Gambo yuko DSM akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.
Maendeleo hayana vyama!
Soma pia > RC Gambo aumbuka. Vijana wa CCM Arusha wamshambulia mitandaoni, aamua “ku left “
Yani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu asubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaa
Kwa hiyo kina bia yetu.....[emoji58]
Mlango.mmoja ukifungwa unafunguliwa mwingineToo bad ametumbuliwa kabla vijana wa uvccm hawajawa wazee😂😂