The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Problem raised when he applied double standards , why did let others who had fake certificates ? If that the case ?Dude
How stupid can you be
Unabariki fraud?
I thought you were intelligent
Kumbe na wewe ni fraud worshiper
Mwizi wa cheti, pesa, haki na hata ideas ni mwizi Tu
Vyeti feki ni wezi wa taaluma na matapeli wa weledi
And you are one of them
Btw, why did you gorge your certificates?
Na viongozi wa kisiasa wakati wote hao posho zao na mishahara yao ni kodi za wananchi?Mbona hakuwatoa polisi na jeshi ?
Kwani hawakufanya kazi ?Wanatakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa na serikali kama mishahara nk na wafunguliwe kesi ya wizi na uhujumu uchumi yaani gambo anatetea wezi aiisee.Hawa waliwanyima haki ya kuajiriwa watu wenye sifa zao wakes as a babushka mateso makubwa na familia zao.Nashukuru wabunge hawakumpigia makofi walikuwa wanamshangaa tu.Ana upeo mdogo sana Wa uelewa
Cheti cha form four athari yake ni nini ? That's is profession certificateKumbuka ilitakiwa wawe wanatumikia kifungo nsaa hivi. Je waliozibiwa nafasi kwa uongo wao? Hivi athari za vyeti feki unazijua wewe au huzijui. Wamepata walichokitafuta.
Yes very true , ni uonevu TuNa viongozi wa kisiasa wakati wote hao posho zao na mishahara yao ni kodi za wananchi?
Service gani nzuri walitoa watu wenye vyeti feki? Serikalini kulijaa ubabaishaji na Huduma duni kwa sababu yao.Watoto wengi walikuwa wakimaliza darasa LA saba wakiwa hawajui kusoma wala kuandika sababu yao.Ufaulu ulikuwa mdogo mno ukilinganisha na sasa baada ya walimu wenye vyeti feki kutimuliwa hakuna service yoyote ya maana waliyokuwa wakitoaKama warudishe mishahara yote ya waliofanyia kazi...basi hakikisheni na nyie mnairudisha service yote aliyowapa.. kama ni Mwalimu na alifundisha darasa la saba wakafaulu...disqualify wote somo alilofundisha... utasemaje mwalimu kafoji foji half kazi yake ikawa sahihi.. naamini angekua ni mzazi wako kabakiza miaka miwili kustaafu halafu una wadogo zako bado wanahitaji kusoma usingeropoka ujinga kama huu. Sidhani kama umefikiria for a second ni familia ngapi tegemezi wameathirika. Na wengi walitumia vyetu yenye majina ya watu kusoma lakini siyo kwamba hawana taaluma. Watangulizi walilijua hill ndo maana waliacha wamalize muda wao kwa kua wengi wao ni watu wazima. Imagine unamfukuza dereva after 25 yrs ya kuendesha wakuu wa serikali na hajawahi hata kupata accident...cheti ndo kilikua kinaendesha gari? Miaka yote ulipokua unamlipa mshahara na ukapokea service yake na ukamkata mshahara wake aliutumikia...kwanini leo usimpe haki yake..hyo ni dhulma..kama huwezi kumrudishia nguvu zake na alichokupa na wewe usimdhulumu chake.
SomeniQengay nyie hamna hata aibu mijitu mizima mnatetea unjinga na kuita wengine nyumbu. Makonda ana vyeti feki mbona hakumfuza, yeye kafoji phd mbona likujiuzulu, jeshini na polisi wote ni watumishi na vyeti feki kibao mbona hakuwafukuza. Kulikuwa na haja gani sasa la zoezi la vyeti feki kwani waliomtangulia hawakuliona. Ndo maana limekufa kwa aibu. Ni jitu la ajabu kuwahi kutokea kifo chake na nilikitabiri humu limeanda na halitarudi.
Nyambaf
Acha kushabikia double standard!Someni
Acheni kushabikia vyeti feki
Baadae ya Lini ?Yote hayo comes down to not looking at things in the long perspective.Tuone kwamba yote aliyofanya baadae yata-create employment.Evelyn naomba tuwe na mawazo mapana zaidi,and let us stop being egocentric.
I will never support substandardAcha kushabikia double standard!
Mungu anaona yote yaliyo sirini.Nilikuwa simpendi Magu ila kwa hili nimeumia.
Ukiona nchi za Ulaya zimepiga hatua kimaendeleo, pamoja na uovu wa walio-asisi maendeleo hayo,siri yao kubwa ni kuwa na na maono na mipango ya muda mrefu,infact millennia.Eti sisi tunakuwa na mipango ya miaka mitano,ni vichekesho.Baadae ya Lini ?
Wajinga na maneno yao ya kijinga kwendaaa na ndorooooobo badala ya hoja. Hoja ni hiyo tu ya fulani ana cheti feki iseme mahakama. Mengine ni kukurupa kama na wewe unavyokurupuka kutetea ujinga na udhalimu wa serkali ya mteuzi wa Gambo!Wajinga na mabwege tuko wengi ila wewe ni Mkuu wetu.
Nani alikuambia kuwa Kosa la mwingine unalitumia kama kinga kwa makosa yako
Eti unasema kwa kuwa waliajiriwa na mabwege wengine hivyo kwa ubwege huo taifa liendelee kuwakumbatia.
Mnapasua watu kichwa wanaumwa fangasi za miguu muachwe tu kisa ulinunua ajira. Kwendaaaaaaaaaa
Fulani ana cheti feki mpeleke mahakamani umekatazwa kama unaushahidi. Ndoroooboooo
Kazi gani ya kufelisha watoto? Na uzembe kibao kazini na kufanya kazi kiubabaishaji?Kwani hawakufanya kazi ?
Kukurupuka kimawazo ni kukurukakara isiyo na tija. Hakuna anayetetea vyeti feki. Inapingwa njia iliyotumika kuondosha wenye vyeti feki. Two wrongs do not make a right! Vyeti feki ni moshi. Upatikanaji wake ni moto. Tungeondoa moto.Hivi tumefikia hapa kama jamii kwamba kwamba mtu anazawadiwa kwa kufanya kosa la jinai.
a. Hivi mtu kufoji vyeti kuomba kazi hii ni sawa?! Basi na mimi ngoja nitafute milioni zangu niende mzumbe wakanitengenezee cheti cha PHD ili nionekane msomi wa level hiyo.
b. So tunataka kuwafundisha watoto na wajukuu zetu kuwa ni sawa kufoji vyeti ili kupata kazi. Na reward ya mtu anaefoji vyeti baada ya kugundulika ubadhilifu wake ni kupewa mafao yake na stahiki sawa na mwenye vyeti halali....?!
Sawa sawa hii dunia ni ndogo sana kukaa na watu wapumbavu kwakweli.
Hebu Evelyn niambie mambo mabaya ambayo Magu alifanya.Mimi aliyofanya ndiyo yaliyokuwa dream yangu for Tanzania.
Kwani form four ni elimu ya proffession ?Gambo anataka matapeli walipwe,watu waliofoji na kuidanganya serikali saingine wakahatarisha mpaka maisha ya watu (mfano wale waliozamia afya) Leo eti walipwe!! Hajui ukifukuzwa unapoteza haki zako.
Mwambieni achuje mambo anayopata vijiweni asilete mada za kitoto.
Narudia tena.... wale sio kwamba walikuwa hawana taaluma...kosa walilofanya wengi wao wamesoma kutumia vyeti vya form IV vyenye majina ya watu wengine... zamani kulikua na walimu wa UPE wengine hata certificate hawana lkn mbona hawakufukuzwa na walikuwa walimu mazuri tu. Huduma mbovu sio sababu wasomi wengi tu maofisini wanashindwa kuzitoa. Jeshini na polisi ndo kwenye vyeti feki sasa wanafoji vyeti na hawajawah hata kujiendeleza...huko ndo mpambane kuwatoa. Nishawah kukutana na mkuu moja wa gereza anashindwa hata kuandika jina lake vizuri.Service gani nzuri walitoa watu wenye vyeti feki? Serikalini kulijaa ubabaishaji na Huduma duni kwa sababu yao.Watoto wengi walikuwa wakimaliza darasa LA saba wakiwa hawajui kusoma wala kuandika sababu yao.Ufaulu ulikuwa mdogo mno ukilinganisha na sasa baada ya walimu wenye vyeti feki kutimuliwa hakuna service yoyote ya maana waliyokuwa wakitoa