Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wezi wa kura wanatumbua wenye vyeti feki—Unafiki mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangapi unaowafahamu waliajiriwa kujaza nafasi hizo za wenye vyeti feki?Wakati mnawatetea wenye vyeti feki,wakumbukeni pia waliokosa hizo kazi na kuishi maisha ya taabu kwa kipindi chote hicho kwa kudhulumiwa haki ya kupata hizo nafasi japokuwa walisota kuitafuta elimu.
Huu unafiki ndio unaorudisha nyuma maendelelo ya bara hili.
Wakati mnatetea kufukuzwa kazi,hamkumbuki kuwa kufoji vyeti ni kinyume cha sheria za nchi pia,walitakiwa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria.
Inafika mahala watu hata hamjui mnahitaji nini,wakati unaandika hayo lazima uzingatie pia sheria inasemaje,vingonevyo utakuwa unatoa upendeleo kwa wavunja sheria na kulinyim kundi lingine haki.
HahaaaIla we mkuu ikishafika issue ya JPM unaweza hata kusema ule kinyesi kama yeye angesema kisiliwe ili tu Uwe tofauti naye. Badilika unatia kinyaa.
Nikuulize kosa ni la nani Kama sheria zilikuwa zinatumika?Wakati mnawatetea wenye vyeti feki,wakumbukeni pia waliokosa hizo kazi na kuishi maisha ya taabu kwa kipindi chote hicho kwa kudhulumiwa haki ya kupata hizo nafasi japokuwa walisota kuitafuta elimu.
Huu unafiki ndio unaorudisha nyuma maendelelo ya bara hili.
Wakati mnatetea kufukuzwa kazi,hamkumbuki kuwa kufoji vyeti ni kinyume cha sheria za nchi pia,walitakiwa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria.
Inafika mahala watu hata hamjui mnahitaji nini,wakati unaandika hayo lazima uzingatie pia sheria inasemaje,vingonevyo utakuwa unatoa upendeleo kwa wavunja sheria na kulinyim kundi lingine haki.
Hivi kweli unaweza kujitetea kwa kutaja wakosaji wengine?Kwann wengine wameachwa ?
You are rightVyeti fake vina wahusika wawili. Kuna aliyekileta (ambaye kishafukuzwa) na kuna aliyekipokea.
Je hao maofisa Utumishi waliopokea vyeti feki walichukuliwa hatua gani? Sheria haipaswi kuwa segragative katika kuonyesha jinai. Naamini ingekuwa ni Mahakamani ingeonekana Mashtaka yako Defective mpaka uwalete ma HR officers waliopokea vyeti feki
Siko serikalini, sina mamlaka yoyote kwahiyo usinijumuisheKwa hili swala vyeti sio la kitoto. Hapa unachezea maisha ya Jamii.
Sheria Kama itafuatwa mbona watu wanafuata tu. Kama kuna vitu vinafanyika waziwazi mnaambiwa mnavyunja katiba mnasema tunakomoana.
Leo mnamkomoa nani Kama sio hiyo jamii na kutengenezeana makaburi. Leo ni kwa mwenzako kesho ni kwako.
Unangangania Sheri zipi ambazo ni zakubambikiana makesi. Hali ni mbaya sana.
Mama Samia safisha uozo wote umfuate mwendazake huko porini aliko.
Humu kuna vituko...Hivi kweli unaweza kujitetea kwa kutaja wakosaji wengine?
Mkuu hao wafanyakazi waliajiliwa kwa mjibu wa Sheria na wakapewa barua.Akamatwe. Yaani ughushi cheti, serkali igundue ili ilikuwa inakulipa kwa taaluma usiyo nayo halafu ikikukamata IKULIPE?
Amejitoa akili aliyesema
Itafika sehemu kubaka akikuibia ukigundua unamlipa
Yes, kwa sababu wote wanalipwaHivi kweli unaweza kujitetea kwa kutaja wakosaji wengine?
Hawakumsaliti sema yy marehemu hakuruhusu watu kutoa maoni kinzaniHii ni balaa kama akikifufuka atatamani afe tu maana kila mmoja amemsaliti
Baada ya hao wezi kufukuzwa je ni watu wangapi wameajiriwa? PatheticNyie machagadema ni washenzi sana!
Hivi kosa la magufuli ni lipi hapo?
Kuwaondoa wezi wa taaluma ndilo kosa lake?
Ni watu wangapi walikosa fursa za kuajiriwa kwa sababu ya hao wezi waliofukuzwa?
Jamani! Aisee...
Mkuu utakuwa na matatizo sana, yaani wewe unaamisha mjadala lakini unaona mwenzako ndiye anahamisha? Wew na jiwe hakuna tofauti ndiyo maana hata akili zenu ni zilezileUsihamishe mjadala.
Ndio maana mnaitwa nyumbu nyie.
Hamjitambui.
Huo utetezi wako hauna afya kabisaUmezaliwa juzi ujui shida za shule waliopata zamani.Mkoa mzima una sekondari nne.watu walipenda kusoma shule Hakuna.Tofauti na sasa KILA kata Ina shule ushindwe wwe tu.
Wafanyakazi hewa ndio walitakiwa wafutwe na sio wenye shida za mikorogano wa majina ya vyeti.Wengine vyeti ni vyao shida ni majina
Dot com wewe ujui kituHuo utetezi wako hauna afya kabisa
Niliwahi kuyafanya hayo nikiwa darasa la kwanza. Unapewa adhabu halafu unasema mbona huyu hakuchapwa?Yes, kwa sababu wote wanalipwa
Dah!Gambo,Gambo,
Gambo,are you serious?Mtu aliyefanya kosa la kugushi cheti,ambalo lina adhabu kisheria na aliyeiibia serikali apewe kiinua mgongo?Huyu kwanza alipaswa kufikishwa mahakamani kwa kosa la kugushi na kujipatia fedha kwa njia isiyo halali.Kama hiyo haitoshi Gambo ana suggest kwamba mtu kama huyo awe rewarded tena.For what,kugushi vyeti,kujipatia fedha kwa njia isiyo halali?Ridiculous.
Gambo kama kiongozi alipaswa kujua kwamba anafanya kosa la kutetea wizi na hivyo anamsaidia mtu kufanya kosa, kosa ambalo ni prosecutable by law.
I must be frank,wanaoitwa viongozi wetu weledi na moral standards zao ni very questionable.Kama Gambo anashauri mwizi awe rewarded kwa wizi,yeye mwenyewe utendaji wake si utakuwa very questionable.
Gambo anapaswa kujitathmini kama kweli anafaa kuwepo kwenye utumishi wa uma,in whatever capacity.Very sad.
Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
========
MRISHO GAMBO: Wafanyakazi 14,409 ambao ni sawa na asilimia 2.82 walibainika kuwa na vyeti feki. Mheshimiwa naibu spika hoja yangu ambayo nataka niijenge hapa, pamoja na kuunga mkono zoezi la serikali kuwatambua watumishi wenye vyeti feki na kuchukua hatua stahiki lakini lazma hawa watumishi walifanya kazi ya kuitumikia nchi hii.
Hata masuala tunayojivunia leo wao pia ni sehemu ya kazi ambayo tumeifanya. Ni vizuri sasa wafanyakazi hawa tukaangalia utaratibu wa kuwapatia haki zao kwasababu wakati wanafanya kazi waliweza kukatwa fedha ambazo zikaenda NSSF, leo zile fedha zimekwenda kule, zinamnufaisha nani?
Wengine walipitisha muda kisheria, miaka 15, 20.. walistahili pia kulipwa kiinua mgongo, pamoja na serikali kuwaondoa kazini, nilikuwa naomba serikali hii ya awamu ya sita ikaangalie jambo hili kwa jicho la huruma, ikawaangalie wananchi hawa 14,409 ambao wana familia zinawategemea wakaweze kupata kiinua chao mgongo, wakapate na mafao yao na baada ya hapo tuendelee kuchukua watumishi wenye sifa maana sisi kama serikali tulichangia kuingia kwa watumishi hao maana waliingia kwa utaratibu"
Sinywi beer mkuu,Mungu amenikataza.Kunywa Heineken ntalipa boss