The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Sasa Kama sio profession , risk iko wapi kuwaacha waendelee na kazi ? Maana wengi Kama sio wote ni form fourNani kakuambia Form IV ni profession mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kama sio profession , risk iko wapi kuwaacha waendelee na kazi ? Maana wengi Kama sio wote ni form fourNani kakuambia Form IV ni profession mkuu.
Umezaliwa juzi ujui shida za shule waliopata zamani.Mkoa mzima una sekondari nne.watu walipenda kusoma shule Hakuna.Tofauti na sasa KILA kata Ina shule ushindwe wwe tu.Hii nchi ya ajabu sana vyeti feki wanaungwa mkono! Wanauhalali na wameonewa kutolewa na walipwe mimi naona tuulize hata sheria nchi majirani zetu wenyewe huwa wanafanyaje juu ya hili
Sikuwahi kuajiriwa ndugu.Ishu ni zoezi lilikuwa la uonevuKuandika kwenyewe hujui masikini ya Mungu!
Ni bora walikufukuza kazi!
Mbona bashite aliachwaUmejuaje kama waliachwa?
Mimi nahisi ni jambo ambalo limepangwa kiufundi sana.Haiwezekanai mtu kama Nape,Gambo wabadilike ghafla.CCM wanaanza kupata akili sasa, japo unafiki na uzandiki hawawezi kuacha.
Wabunge wa CCM sasa wameona jambo lililobakia ni kutafuta "KIKI YA KUKUBALIKA MAJIMBONI", wakiendelea na "BENDI YA MAREHEMU KUIMBA MAPAMBIO" inakula kwao uchaguzi ujao.
Ama kweli tutajionea mengi katika utawala wa Mama Samia.
If ur doomy you can't narrowVery shoddy assumption
Zamani shule chache dot com ngumu kuelewa unadhani shule kata zilikuwepo.Mkoa mzima sekondari nne darasa la saba elf 30 mnagombea nafasi 300Ndio 'fojari' hiyo tuisemayo, mtu unarudia darasa la saba mara 7!! Chuoni ataweza kitu kweli.
Fair play kama unatoa toa wote na sio double standardUlitakaje?
Ndo ughushi cheti?Zamani shule chache dot com ngumu kuelewa unadhani shule kata zilikuwepo.Mkoa mzima sekondari nne darasa la saba elf 30 mnagombea nafasi 300
Sheria inasemaje kuajiri aliyegushi cheti.Nani mwenye makosa Kati ya muajiri na mwajiriwa?Ndo ughushi cheti?
Sheria inasemaje juu ya kughushi vyeti?
Tatizo liko kwako wewe unaekurupuka kutetea upumbavu. Hili lisingeleta madhara Kama wangeweka mfumo ambao ungezibiti hali hiyo.Someni
Acheni kushabikia vyeti feki
Kughushi cheti ni udanganyifu kama udanganyifu mwingine, ndio maana mtu akijulikana alipenya kwenye kughushi cheti hadi akaajiriwa sheria yamtaka mtu huyo akamatwe na kutupwa kolokoloniSheria inasemaje kuajiri aliyegushi cheti.Nani mwenye makosa Kati ya muajiri na mwajiriwa?
Hatuhitaji empty words,kama una ushahidi concrete peleke sehemu husika.Maneno ya vijiweni hayatusaidii sana.
Hakuna! HAta kama kuna nduguyo, ni fundisho kwamba ktk maisha fuata sheria na mpangilio. Yaani unaajiliwa kwa cheti feki, ukifukuzwa leo unakuja na wazo la kumwita mtu shetani! NOOOO! Ni upumbavu kutaka veti feki walipwe.... imeniuma sana. Ni zaidi ya shetani; rest in hell forever. Binadamu unafikiaje kiwango hiki cha ushetani? Mungu awafute machozi wahusika.
Kughushi cheti ni udanganyifu kama udanganyifu mwingine, ndio maana mtu akijulikana alipenya kwenye kughushi cheti hadi akaajiriwa sheria yamtaka mtu huyo akamatwe na kutupwa kolokoloni
Who is Major Boniface Jacob by the way.Mayor Boniface Jacob alipeleka ushahidi wa Makonda Kutumia Vyeti feki kwenye "TUME YA MADILI" lakini hakuna kilichofanyika.
Who is Major Boniface Jacob by the way.
Sijasema hivyo,I am just wondering whether he did that at all,maana wabongo mkiwa vijiweni mnadanganyana sana.It could be mere hear say.Mwananchi wa kawaida au kuepeleka taarifa mpaka uwe na hadhi fulani?
Isiwe double standard sasa wengine ni sahihi wengine hapana.Kughushi cheti ni udanganyifu kama udanganyifu mwingine, ndio maana mtu akijulikana alipenya kwenye kughushi cheti hadi akaajiriwa sheria yamtaka mtu huyo akamatwe na kutupwa kolokoloni