Mrisho Gambo: Vyeti Feki walipwe, Serikali ilikurupuka!

Mrisho Gambo: Vyeti Feki walipwe, Serikali ilikurupuka!

Sijasema hivyo,I am just wondering whether he did that at all,maana wabongo mkiwa vijiweni mnadanganyana sana.It could be mere hear say.

Aisee Mkuu kweli nimeamni wewe upo hapa kwa ajili ya kulinda legacy tu.

BJDAB.jpg
 
Hilo zoezi alijaendeshwa kihaki ,kama Makonda,mwigulu,palamagamba,kigwangala na jiwe wangeondolewa hapo ningeona zoezi liliendeshwa kiha ila wamepunguza tu wafanyakazi kwa vigezo vya kubumba ,basi walipwe mafao yao.
Somo la pili nililofundishwa katika harakati za kutetea wafanyakazi, ni kwamba kila kesi ijitegemee yenyewe. Hakuna kusema, "mbona fulani naye alifanya hivyohivyo mkamuacha!" Ukisema hivyo, mamlaka husema, wale nao walikosea. Tutawachukulia hatua kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu. Na huyu unayemtetea kwa kuwa mmekiri naye alikosea, naye tunamhukumu ipasavyo.

Kwa hiyo, siyo tu hujui iwapo unachotaka ni stahiki au ni fadhila; bali pia unakiri kuondolewa kwa wenye vyeti feki kulikuwa ni sahihi, isipokuwa tu pana wachache 'waliosahauliwa'. Kwa mbinu hizo ndugu yangu, hawa tunaowatetea hawatapata mafao.
 
Sheria inasemaje kuajiri aliyegushi cheti.Nani mwenye makosa Kati ya muajiri na mwajiriwa?
Labda tuanzie na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020. Tuone nani atasalimika hapo. Hii nchi imejaa wasanii, matapeli, waongo n.k.

Wakurupukaji ni wengi sana hasa hasa wanaotaka kujaza matumbo yao na kutaka masifa.

Hawajui cheo ni kipaji na nibahati kutoka kwa mungu. Sitetei maovu ndiyo maana ya kuwa na sheria kwa wakati huo na kulingana na nyakati husika. Huwezi kuleta sheria ambayo ilitungwa mwaka 1960 kijana wa Leo hataielewa Kama haiksaidii. Na ndyo maana kuna utandawazi.

Hili suala la vyet baada ya kuona liligusa jamii kubwa wasingewasimamisha ila wangeweka mfumo ambao ungewaidia kuondoa Hilo janga na kuwaweka mikakati ya kuwazibiti waajiri ili hiyo hali isiwepo.

Tukianza kunyooshea vidole mbona wapo wengi waliingia makazini na vyeti hawana?

Na serikali ilikuwa wapi mpaka vyeti feki vikatumika kuwa halali leo ndiyo unaamka usingizini eti Hawa ni matapeli.

Muombe mungu Kama sio hao walimu mnaowatukana ni wezi wa vyeti feti usingesoma. Ungekuta unachunga mangombe huko porini Kama nyani.

Naomba tuwaombe msamaha na tuweke mfumo ambao utatendea watu haki.

Humu kuna vijana wameropoka sana kuwatuka lakini wakumbuke walitumia jasho lao na muda wao katika maisha yako. Ndiyo maana Leo unajitambua. Unajua
boxsa na chupi.

Nyerere hakuwa mpumbavu kuwaajiri watu wa upe na wakafanya nae kazi na kazi zikaenda. Na matunda mnayaona leo.



Hawakujiajiri wenyewe ila waliajiriwa na vigezo vilizingatiwa.

Leo unamwadhibu kwa sababu gani wakati umeshampotezea muda wake.
 
Siamini nnacho kishuhudia aisee..

Kweli Magu aliumiza wengi...

Huyu ni yeye kabisa.!?
 
Somo la pili nililofundishwa katika harakati za kutetea wafanyakazi, ni kwamba kila kesi ijitegemee yenyewe. Hakuna kusema, "mbona fulani naye alifanya hivyohivyo mkamuacha!" Ukisema hivyo, mamlaka husema, wale nao walikosea. Tutawachukulia hatua kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu. Na huyu unayemtetea kwa kuwa mmekiri naye alikosea, naye tunamhukumu ipasavyo.

Kwa hiyo, siyo tu hujui iwapo unachotaka ni stahiki au ni fadhila; bali pia unakiri kuondolewa kwa wenye vyeti feki kulikuwa ni sahihi, isipokuwa tu pana wachache 'waliosahauliwa'. Kwa mbinu hizo ndugu yangu, hawa tunaowatetea hawatapata mafao.

Ilikuwaje jkt,tiss,jw,police hawajakaguliwa?
 
Tatizo liko kwako wewe unaekurupuka kutetea upumbavu. Hili lisingeleta madhara Kama wangeweka mfumo ambao ungezibiti hali hiyo.

Wasinge wasumbua watu Kama kuna ajira serikali wanaoomba majina yao yakahakikiwe necta Kama form 4 ni professional sio kunyanyasa watu.

Kumbukeni madhara mliyosababishia Jamii ni makubwa kuliko muafaka wenu mliokuwa mnautafuta. Na ndiiyo maana tunawaita wakurupukaji.

Yaani mnatengeneza vifo, wananchi wako wafe? Ni ajabu kweli.

Kwa nchi nyingi waliposikia hili zoezi walishtuka sana. Muwaombe Hawa watu msamaha kwa kweli.
Mimi siko serikalini and I will never be.... Na sikubaliani na vyeti feki regardless ya stage ya kugundulika

Mwenye akili fupi kama wewe hataelewa

Kwenye Sheria, hata jinai ya miaka Mia iliyopita ikikuhusu utailipia Tu

I hate fake certificates, nibfraud Tu just like any other fraud
 
Chifu kama zoezi lingeanda haki bin haki wangebaki wachache sana serikalini,hauwezi kuondoa vyeti feki halafu kada nyingine ukaacha,zoezi lile lilikuwa na lengo la kupunguza wafanyakazi tu....Kama vyeti feki basi ingekula kuanzia police,jwtz,tiss,magereza,jkt lakini hao hawajaguswa ,kwanini hawakuwagusa? Hapo ndipo naposema lile zoezi halikuwa la haki.
Thanks mkuu

Fraudulent certification is wrong

Tatizo hapa kwetu hapa kuna watu walipona
 
Hata kama huko kweli hawakukaguliwa, hii inasaidia nini kwa waliobambwa wamefoji kule kwenye STK na SU, katika kudai haki / kuomba fadhila za mafao yao?

Yes two wrongs dont make a right lakini kuwa na double standard si haki...Kama lengo ni kuondoa watumishi feki basi ilitakiwa watwange kote kote na sio kubagua.
 
Nadhani roho mbaya ya Mwendazake haijawahi kuwepo Afrika, hata Idd Amini hafiki, laana kubwa sana!
Wakati mnawatetea wenye vyeti feki,wakumbukeni pia waliokosa hizo kazi na kuishi maisha ya taabu kwa kipindi chote hicho kwa kudhulumiwa haki ya kupata hizo nafasi japokuwa walisota kuitafuta elimu.
Huu unafiki ndio unaorudisha nyuma maendelelo ya bara hili.
Wakati mnatetea kufukuzwa kazi,hamkumbuki kuwa kufoji vyeti ni kinyume cha sheria za nchi pia,walitakiwa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria.
 
CCM wanaanza kupata akili sasa, japo unafiki na uzandiki hawawezi kuacha.

Wabunge wa CCM sasa wameona jambo lililobakia ni kutafuta "KIKI YA KUKUBALIKA MAJIMBONI", wakiendelea na "BENDI YA MAREHEMU KUIMBA MAPAMBIO" inakula kwao uchaguzi ujao.

Ama kweli tutajionea mengi katika utawala wa Mama Samia.

is it not that good??
 
Nadhani roho mbaya ya Mwendazake haijawahi kuwepo Afrika, hata Idd Amini hafiki, laana kubwa sana!

raha ya JPM ni alikunyoosha

na anatawala akili zako

ukiwa unakula, uko chooni, unasali, umelala, unafanya mapenzi lazima JPM umkumbuke

maana haijalishi utamchukia namna gani, utajistukia wewe ndio uko kifungoni, hauna raha, una mood, unakosa mpaka akili za kuingiza kipato

Mrija wa hela aliokukatia lazima ulikuwa mtamu mkuu

wenye akili tunakuelewa sana🤣🤣🤣
 
Mimi siko serikalini and I will never be.... Na sikubaliani na vyeti feki regardless ya stage ya kugundulika

Mwenye akili fupi kama wewe hataelewa

Kwenye Sheria, hata jinai ya miaka Mia iliyopita ikikuhusu utailipia Tu

I hate fake certificates, nibfraud Tu just like any other fraud
Kwa hili swala vyeti sio la kitoto. Hapa unachezea maisha ya Jamii.

Sheria Kama itafuatwa mbona watu wanafuata tu. Kama kuna vitu vinafanyika waziwazi mnaambiwa mnavyunja katiba mnasema tunakomoana.

Leo mnamkomoa nani Kama sio hiyo jamii na kutengenezeana makaburi. Leo ni kwa mwenzako kesho ni kwako.

Unangangania Sheri zipi ambazo ni zakubambikiana makesi. Hali ni mbaya sana.

Mama Samia safisha uozo wote umfuate mwendazake huko porini aliko.
 
Mimi siko serikalini and I will never be.... Na sikubaliani na vyeti feki regardless ya stage ya kugundulika

Mwenye akili fupi kama wewe hataelewa

Kwenye Sheria, hata jinai ya miaka Mia iliyopita ikikuhusu utailipia Tu

I hate fake certificates, nibfraud Tu just like any other fraud
Vyeti fake vina wahusika wawili. Kuna aliyekileta (ambaye kishafukuzwa) na kuna aliyekipokea.

Je hao maofisa Utumishi waliopokea vyeti feki walichukuliwa hatua gani? Sheria haipaswi kuwa segragative katika kuonyesha jinai. Naamini ingekuwa ni Mahakamani ingeonekana Mashtaka yako Defective mpaka uwalete ma HR officers waliopokea vyeti feki
 
Nadhani roho mbaya ya Mwendazake haijawahi kuwepo Afrika, hata Idd Amini hafiki, laana kubwa sana!
Wakati mnawatetea wenye vyeti feki,wakumbukeni pia waliokosa hizo kazi na kuishi maisha ya taabu kwa kipindi chote hicho kwa kudhulumiwa haki ya kupata hizo nafasi japokuwa walisota kuitafuta elimu.
Huu unafiki ndio unaorudisha nyuma maendelelo ya bara hili.
Wakati mnatetea kufukuzwa kazi,hamkumbuki kuwa kufoji vyeti ni kinyume cha sheria za nchi pia,walitakiwa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria.
Waliobomolewa nyumba zao walipwe fidia.
Waliofukuzwa vyeti warejeshewe au walipwe chao maana walitoa nguvu zao kutumika.
Wa bureau de change warejeshewe pesa zao
Inafika mahala watu hata hamjui mnahitaji nini,wakati unaandika hayo lazima uzingatie pia sheria inasemaje,vingonevyo utakuwa unatoa upendeleo kwa wavunja sheria na kulinyim kundi lingine haki.
 
Hakuna! HAta kama kuna nduguyo, ni fundisho kwamba ktk maisha fuata sheria na mpangilio. Yaani unaajiliwa kwa cheti feki, ukifukuzwa leo unakuja na wazo la kumwita mtu shetani! NOOOO! Ni upumbavu kutaka veti feki walipwe.
No doubt, hata Magufuli mwenyewe PhD yake ni ya plagiarism. Imagine Ben Saanane alipoihoji akakamatwa na kikundi cha Makonda na kupelekwa kwa Mwendazake. Aliposisitiza kutaka uhakika yasemekana Magu mwenyewe alim shoot kwa bastola yake.

Ni Mungu wa aina gani atakuacha HAI kwa vitendo kama hivi. Mwendazake na Makonda wote wana vyeti foggery, halafu unafukuza wafanyakazi wa chini, ukihojiwa cha kwako unaua. Ndiyo maana naye kafurushwa na Mungu mnamo 17/3
 
Wakati mnawatetea wenye vyeti feki,wakumbukeni pia waliokosa hizo kazi na kuishi maisha ya taabu kwa kipindi chote hicho kwa kudhulumiwa haki ya kupata hizo nafasi japokuwa walisota kuitafuta elimu.
Huu unafiki ndio unaorudisha nyuma maendelelo ya bara hili.
Wakati mnatetea kufukuzwa kazi,hamkumbuki kuwa kufoji vyeti ni kinyume cha sheria za nchi pia,walitakiwa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria.

Inafika mahala watu hata hamjui mnahitaji nini,wakati unaandika hayo lazima uzingatie pia sheria inasemaje,vingonevyo utakuwa unatoa upendeleo kwa wavunja sheria na kulinyim kundi lingine haki.
Hio sheria ya dabo standard yafaa nn sasa.Ukiamua kuwatoa wa shida ya vyeti toa kada zote sio wengine sababu ni maswaiba uwagusi.Hao wa vyeti wengine wapo waliojariwa toka enzi ya Nyerere, wengine wamemfundisha na akafaulu.Mtu kama dereva, mhudumu,mfagizi, daktari waliokaa darasani na ni wataalamu wazuri hio vyeti tena vya form four na sio vya taaluma vinasaidia nn.Mbona wapo sekta binafsi wengine botswana kenya wengine nje ya nchi na wanafanya Kazi nzuri vizuri tu.Dunia ya kutazama vyeti na sio taaluma ilishapita dunia uangalia ufanisi wako na sio cheti chako kaweke kabatini au kwenye frem ukutani.Wengi wa vyeti waliajiriwa zamani JK alipogundua alisema waache wamalize batch yao ila kuanzia sasa kuweni makini.
 
Hakuna! HAta kama kuna nduguyo, ni fundisho kwamba ktk maisha fuata sheria na mpangilio. Yaani unaajiliwa kwa cheti feki, ukifukuzwa leo unakuja na wazo la kumwita mtu shetani! NOOOO! Ni upumbavu kutaka veti feki walipwe.
Kwann wengine wameachwa ?
 
Back
Top Bottom