paschal Martin
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 401
- 385
Hii nchi ya ajabu sana vyeti feki wanaungwa mkono! Wanauhalali na wameonewa kutolewa na walipwe mimi naona tuulize hata sheria nchi majirani zetu wenyewe huwa wanafanyaje juu ya hiliNaunga mkono Hoja. Pia warejeshwe kazini wale wapendao kurudi.
Taaluma sio vyeti.
Wewe utakuwa ulifoji cheti au ndugu yako yupo aliyefoji sio kwa uteteziNaunga mkono Hoja. Pia warejeshwe kazini wale wapendao kurudi.
Taaluma sio vyeti.
Ila Watanzania tumekuwa wanafiki hadi tunajidhalilisha mbele ya wengine, huyu Gambo si ndio alikuwa kwenye serikali hii anayoinange haya mbona hakuyasema? kwa mtu mkweli kama kuna kitu haafiki alitakiwa ajiondoe kwenye serikali na si kuja hapa kujilambalamba midomo, hawa vijana wanapima upepo na kumjaribu mama naona sasa kila mtu anatoka tunduni kisa mama katoa ruksa,hawajui wanaji kaanga wenyewe, waache kumjaribu mama, naamini angekuwa hai mwendazake hakuna ambaye angeleta ujinga wa kusema pumba bungeni. Mama kaa standby vijana wanakupima upepo.Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi
========
MRISHO GAMBO: Wafanyakazi 14,409 ambao ni sawa na asilimia 2.82 walibainika kuwa na vyeti feki. Mheshimiwa naibu spika hoja yangu ambayo nataka niijenge hapa, pamoja na kuunga mkono zoezi la serikali kuwatambua watumishi wenye vyeti feki na kuchukua hatua stahiki lakini lazma hawa watumishi walifanya kazi ya kuitumikia nchi hii.
Hata masuala tunayojivunia leo wao pia ni sehemu ya kazi ambayo tumeifanya. Ni vizuri sasa wafanyakazi hawa tukaangalia utaratibu wa kuwapatia haki zao kwasababu wakati wanafanya kazi waliweza kukatwa fedha ambazo zikaenda NSSF, leo zile fedha zimekwenda kule, zinamnufaisha nani?
Wengine walipitisha muda kisheria, miaka 15, 20.. walistahili pia kulipwa kiinua mgongo, pamoja na serikali kuwaondoa kazini, nilikuwa naomba serikali hii ya awamu ya sita ikaangalie jambo hili kwa jicho la huruma, ikawaangalie wananchi hawa 14,409 ambao wana familia zinawategemea wakaweze kupata kiinua chao mgongo, wakapate na mafao yao na baada ya hapo tuendelee kuchukua watumishi wenye sifa maana sisi kama serikali tulichangia kuingia kwa watumishi hao maana waliingia kwa utaratibu"
Tena wangeshitakiwa kuhujumu uchumi.Hii nchi ya ajabu sana vyeti feki wanaungwa mkono! Wanauhalali na wameonewa kutolewa na walipwe mimi naona tuulize hata sheria nchi majirani zetu wenyewe huwa wanafanyaje juu ya hili
Liende tu wala hatulikumbuki.Daah, mwendazake akipiga chabo huku duniani atashangaa sana kuona kila mtu anajitenga na maamuzi yake na kumuita mkurupukaji
Hapa mkuu
Forgery ya vyeti is a crime at least wangekua wawazi
Tunajua cost ya kuhudumiwa na fake certificate person?
Watanzania msikubali magumashi
Vyeti feki ni ufisadi pia
Hilo zoezi alijaendeshwa kihaki ,kama Makonda,mwigulu,palamagamba,kigwangala na jiwe wangeondolewa hapo ningeona zoezi liliendeshwa kiha ila wamepunguza tu wafanyakazi kwa vigezo vya kubumba ,basi walipwe mafao yao.Hapo kale, nilikuwa kiongozi kwenye chama chenye kutetea haki za watumishi. Moja ya jambo kubwa ambalo nilijifunza kutokana na kuwa kiongozi wa chama chenye kutetea haki za watumishi ni:
Pana tofauti baina ya haki na fadhila. Haki hudaiwa. Fadhila huombwa. Katika kutetea watumishi shurti mara zote kujua lengo ni lipi: kupata haki au fadhila. Pasipo kujua hayo, unaweza ukajikuta ni mwenye kudai fadhila au kuomba haki, ambapo, aghalabu, matokeo huja hasi.
Kwa hiyo bwana King Kong III , suala la walioghushi vyeti kulipwa mafao, ni la haki au ni la fadhila?
Na kwa mantiki hiyo, ni la kudai au la kuomba?
Hatukufumbia machoMbona mlifumbia mamcho kwa Makonda,Kigwangala,Mwigulu,palamagamba na Jiwe? Hao wote ni mafisadi wa elimu kama Msemakweli kinerugaba alivyowaita....Zoezi zima lilikuwa biased lilipagua watu hivyo alikuwa zoezi la haki bali chuki za jiwe kupunguza wafanyakazi.
Nani kakuambia Form IV ni profession mkuu.Kwani form four ni elimu ya proffession ?
Hivi ukibanwa ukaambiwa utoe ushahidi concrete kwamba hao unaowataja wamefoji vyeti unaweza kweli.Acheni kushabikia story za vijiweni ninyi.Kama umebambwa na cheti feki beba msalaba wako mkuu,tafuta ulaji mahali pengine,serikalini kume-chacha.Hilo zoezi alijaendeshwa kihaki ,kama Makonda,mwigulu,palamagamba,kigwangala na jiwe wangeondolewa hapo ningeona zoezi liliendeshwa kiha ila wamepunguza tu wafanyakazi kwa vigezo vya kubumba ,basi walipwe mafao yao.
Halafu hawa watu hawana huruma aisee.Jambo la kushangaza ni kwamba wanamuona Magufuli aliyewaondoa kwamba ndiye mwenye roho mbaya!Na wao waliochukua ajira za watu wanaostahili huku wao wakiwa hawastahili tuwaiteje?I think they are super idiots.Tena wangeshitakiwa kuhujumu uchumi.
Vijana wanakosa ajira ambao wana vigezo
Hatukufumbia macho
Tena wewe mkongwe humu, tulisema Sana chifu
Labda kama.umesahau
Hivi ukibanwa ukaambiwa utoe ushahidi concrete kwamba hao unaowataja wamefoji vyeti unaweza kweli.Acheni kushabikia story za vijiweni ninyi.Kama umebambwa na cheti feki beba msalaba wako mkuu,tafuta ulaji mahali pengine,serikalini kume-chacha.
Aiseeee ibilisi Jiwe kaumiza Sana familia za wahanga , walipwe aisee wanamchango mkubwa sana kwenye nchi hii kuliko hata Jiwe , Jiwe yeye mchango wake Ni kulitia hasara tu taifa Tena kwa matilioni .Yaani wewe kweli Empty Set ,yaani haujui kwamba Makonda ni Daudi Albert Bashite? Said Nassor Bagaile ni Hamis Kigwangala? Lameck Madelu ni Mwigulu Nchemba? Hao wote wamefoji elimu wanavyeti feki ,Palamaganda hadi kwenye list alikuwepo unataka ushahidi gani? Jiwe alikuwa na Phd Feki Ushahidi uliwekwa dhahiri na Ben Saanane ,baada ya kuweka unajua kilichompana Ben ClockEight.
Hatuhitaji empty words,kama una ushahidi concrete peleke sehemu husika.Maneno ya vijiweni hayatusaidii sana.Yaani wewe kweli Empty Set ,yaani haujui kwamba Makonda ni Daudi Albert Bashite? Said Nassor Bagaile ni Hamis Kigwangala? Lameck Madelu ni Mwigulu Nchemba? Hao wote wamefoji elimu wanavyeti feki ,Palamaganda hadi kwenye list alikuwepo unataka ushahidi gani? Jiwe alikuwa na Phd Feki Ushahidi uliwekwa dhahiri na Ben Saanane ,baada ya kuweka unajua kilichompana Ben ClockEight.
Ujui kitu mnyonge wweOna jizi hili!
Kasome upate elimu. Hakuna ajira ya ujanja ujanja.
Ishu sio kuforge ishu ulikuwa ni mchakato wa uonevu mbona wanajeshi, wanasiasa,nk wao waliachwa?Wewe utakuwa ulifoji cheti au ndugu yako yupo aliyefoji sio kwa utetezi