Mrisho Gambo: Wafanyabiashara wa maduka ya kubadili fedha za kigeni walioporwa fedha na mali zao warudishiwe

Mrisho Gambo: Wafanyabiashara wa maduka ya kubadili fedha za kigeni walioporwa fedha na mali zao warudishiwe

Wakati yeye ndo alikuwa anasimamia hilo zoezi kwa mbwembwe na kejeli.

Hakyamama mwendazake anachezea za uso mpaka namwonea huruma. Huyu Gambo hajui kawa mbunge kwa juhudi za udhalimu wa mwendazake?

Kitu kimoja kwa hakika, ikatokea mwendazake akafufuka, atadedi tena fasta kwa spidi ya Mombardier, sio kwa unafiki huu wallah.
Ni kweli atakufa tena,ila kiukweli mwendazake alikuwa na mambo ya ajabu,leo gambo kasoma upepo wa mama kachenji gia angani
 
Gambo akapimwe akili kwanza.

Hata ubunge wake kaupata kwa hisani ya Magufuli. Gambo ni miongoni mwa wanafiki wakubwa ambao hawatakiwi kabisa.

Ukimufurahia Gambo ipo siku atakugeuka na wewe. Yeye si mkweli bali ni mfuata maslahi na mjinga mkubwa.
Pamoja na unafiki wake,lakini katika hili niko upande wake
 
Na huyu ndio alikuwa RC wa Arusha wakati huo.

Wapinzani hawako Bungeni, sasa ni lazima wao waseme ukweli mchungu hata kama ukweli huo unawagusa.

Ipo siku watakiri kuwa hata huo ubunge wao ni haramu na wenye busara watakuja kuomba radhi umma wa watanzania.

In short, Magu atakumbukwa kwa uovu mwingi na ni busara WANA-CCM wenzake au wanafamilia wake wakamuombea msamaha kwa watanzania.
Daa kweli aisee,
 
Niwe mkweli tu huyu jamaa nilikuwa namchukia sana wakati wa wa yule dhalimu mwendazake, lakini ananishangaza sana kwa ujasiri wake pale mjengoni. Amekuwa mwiba mkubwa wa maccm na wasiwasi wangu akiendelea hivi 2025 jina lake litakatwa kugombea jimbo. Nikionana naye nitampa mkono na kumwambia Thank you 🙏🏾 Sir and keep up the good work.
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”



Pia, soma:
 
Mrisho Gambo ,wkt maduka ya kubadilisha fedha za kigeni yana porwa fedha na Serikali wewe ulikuwa RC na Mkti Kamati ya Ulinzi/ Usalama na ulitoa wito kwa Mabenki yachangamkie fursa kwa maduka haya kuporwa.UNAFIKI wako ni wa kiwango cha juu,vijana kama wewe ni hatari kwa TAIFA.
 
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”



Pia, soma:
Halafu sijui kuna ushuzi mmoja unaitwa kamati ya Amani umeibuka na bango la kupiga marufuku asitwe MWENDAZAKE

Ni hivi jina zuri anapaswa kuitwa "MWANAKWENDAZAKE NA AENDE"

MXIEUSSSSZZZZ!!!
 
Unaelewa maana ya utawala wa sheria?
Unafahamu kwa nini mahakama zipo?
Hata pablo pamoja na uhalifu wake wa kuuwa watu bado watu na kuwaua na madawa ya kulevya, watu hawakutaka akamatwe
Kwa binadam kufuata sheria kwa hiyari sidhani kama inawezekana.
Minachojua lazima kulikua luna makosa ingawa yanawrza kuwa yalihitaji kupigwa adhabu na kupewa onyo na wakaendelea na biashara.
 
Ni kweli atakufa tena,ila kiukweli mwendazake alikuwa na mambo ya ajabu,leo gambo kasoma upepo wa mama kachenji gia angani
Kina Chalamila walikuwa wanaenda na upepo wa Mwendazake... mama akawatumbulia mbali...
 
Na huyu ndio alikuwa RC wa Arusha wakati huo.

Wapinzani hawako Bungeni, sasa ni lazima wao waseme ukweli mchungu hata kama ukweli huo unawagusa.

Ipo siku watakiri kuwa hata huo ubunge wao ni haramu na wenye busara watakuja kuomba radhi umma wa watanzania.

In short, Magu atakumbukwa kwa uovu mwingi na ni busara WANA-CCM wenzake au wanafamilia wake wakamuombea msamaha kwa watanzania.
Kwa kweli wafanyabiashara za kubadilisha fedha walionewa sana , inakuwaje pale Rais mwenye nguvu kubwa sana anapoamua watu wafilisiwe ili hali walikuwa wana leseni halali za kufanyia biashara zao. Inatia huzuni sana kufilisiwa bila ya sababu za kueleweka
 
Warudishiwe kutoka kwenye fungu la Serikali (Kodi)? Kwanini wasirudishiwe kutoka kwenye fungu la waliotekeleza huu ujambazi (akiwemo yeye kama RC)
ccm wauze malizo wawalipe Zingekuwa zimechukuliwa na TRA tungesema walipwe
 
Mrisho wewe nawe ulikuwa mmoja wa waporaji wa hao wafanyabiashara wa Beaure de change.
 
Daah nitaanza kwenda Kanisani sasa. Kimbe Mungu yupo kwa ajili ya kuokoa waja zake.
 
Niwe mkweli tu huyu jamaa nilikuwa namchukia sana wakati wa wa yule dhalimu mwendazake, lakini ananishangaza sana kwa ujasiri wake pale mjengoni. Amekuwa mwiba mkubwa wa maccm na wasiwasi wangu akiendelea hivi 2025 jina lake litakatwa kugombea jimbo. Nikionana naye nitampa mkono na kumwambia Thank you 🙏🏾 Sir and keep up the good work.

Hakika mkuu, huyu jamaa alijijengea taswira mbaya sana machoni pa wengi hasa akiwa RC Arusha. Tangu aingie mjengoni ni kama vile kabatizwa ubatizo wa maji mengi - anajenga hoja zenye mashiko sana. Hata kama atapigwa mawe na wengi kwamba alikuwa sehemu ya udhalimu wa awamu iliypopita lakini ukweli utabakia kuwa ukweli tu kwamba anajenga hoja vizuri. Wahenga walisema: "Ukweli utabakia kuwa ukweli hata kama ungetoka kinywani mwa shetani"!!!
 
Pamoja na unafiki wake,lakini katika hili niko upande wake
Saw
Cha ajabu ccm wenyewe wameona jinsi madaraka ya urais yanavyoweza kutumika vibaya, lakini ukisema tubadili katiba ili kupunguza madaraka ya rais hawataki, kwani wanategemea madaraka ya urais kubaki madarakani kwa shuruti.
Huyu mnafiki katumwa na Ridhiwan.Yaan haoni kuwa anajimaliza kabisa kisiasa.Huyu jamaa alipokuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ,mara kadhaa alikuwa anagombana na mkuu wa wilaya.Ni mpumbavu sana huyu dogo.
 
Back
Top Bottom