Mrisho Mpoto: 95% ya waliokataa mkataba wa DP World tuko nao hapa tunaposaini na baadaye tutakula nao Ubwabwa

Mrisho Mpoto: 95% ya waliokataa mkataba wa DP World tuko nao hapa tunaposaini na baadaye tutakula nao Ubwabwa

Tuliwaambia hamna ubavu wa kuizuia Serikali kufanya itakavyo. Wako wapi wapayukaji akina Mwabukusi na wenzake? Iko wapi TEC? Tena TEC kwa unafiki wamehudhuria sherehe za kusaini mikataba.
 
Nadhani CCM inawatumia watu wajinga sana katika kutetea uwekezaji wa Bandari.

Mrisho Mpoto sijui kama abajua ABC za mkataba wa Bandari.Kumtumia mtu mjinga kama Mrisho ni kuonyesha jinsi CCM ilivyokosa maarifa.
 
Nadhani CCM inawatumia watu wajinga sana katika kutetea uwekezaji wa Bandari.

Mrisho Mpoto sijui kama abajua ABC za mkataba wa Bandari.Kumtumia mtu mjinga kama Mrisho ni kuonyesha jinsi CCM ilivyokosa maarifa.
Ni kuonyesha kwamba wengi wetu ni wajinga na wanao watumia pia ni vivyo hivyo.
 
Hivi kile kiwaraka cha TEC bado kinaendelea kusomwa makanisani kila jumapili?
 
Naye Yule Jamaa Na Mnafki Sana Nadhani Ni Chawa Aliyeshiba Danu
Alikuwa Anawaponda Viongozi Eti Na Kibwagizo Cha Song Lake
 
Ni Kauli ya Msanii lakini imebeba ujumbe mzito sana.

Yawezekana hao 5% waliopelea kwa mujibu wa takwimu za Mpoto ni wale Chadema na akina Mwabukusi.

Sijajua Mrisho Mpoto alitaka kumaanisha nini hasa lakini Ujumbe wake kwa tafsiri yoyote ile ni mzito.

Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
takataka tangu lini ikawa na ujumbe mzito...wewe nawe i wa hovyo kumbe kiasi hicho
 
Ma TEC majinga sana unaitwa ikulu unaenda bila kujua unaitiwa nini, uzembe huu
So sad, haohao waliowaambia wasichanganye dini na siasa ndio waliowaalika kwenye hafla ya kisiasa; hivi ukialikwa huwezi hata kutoa udhuru?

Shenzi zao.
 
Ni Kauli ya Msanii lakini imebeba ujumbe mzito sana.

Yawezekana hao 5% waliopelea kwa mujibu wa takwimu za Mpoto ni wale Chadema na akina Mwabukusi.

Sijajua Mrisho Mpoto alitaka kumaanisha nini hasa lakini Ujumbe wake kwa tafsiri yoyote ile ni mzito.

Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Walialikwa ndiyo maana walienda
 
Mpoto aelewe kwamba kila mwenye akili timamu aliesoma ile IGA kabla ya kelele za Watanzania ilikuwa ni ujinga mtupu.

Na serikali inapaswa kushukuru sana sauti zilizolia against IGA ile na bado tuna hitaji la kuwekewa hadharani hayo maboresho tuliyo ambiwa mh Rais kwa faida yetu na vizazi vyetu.

Bila kusahau kuwajibishwa kwa wale wote walio ingia IGA ya hovyo kuwahi kutokea duniani.
 
Back
Top Bottom