Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Padiri Kitima naamini anaishi Dar, sasa lazima alipata mwaliko mapema, halafu kasafiri from Dar to Dodoma kwa ndege saa moja hivi na kwa gari ni kama Km 470 bado hajui anaitiwa nini? Labda yeye ndo alishauri mwaliko uwe hivo ili TEC iendelee kuheshimiwa na kutoonekana walibugi kiharakati?
Rudi kwenye uhalisia, serikali walikuwa na maana gani kuficha tukio la kusaini mkataba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Tukisema Raisi ni mhuni aliyejificha kwenye ushungia ,wale chawa watakuambia mama maamaaa pumbafu zao
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Mrisho Mpoto = CHAWA WA MAMA...
Hizi njaa zinatuaibisha mpaka yule wa mashairi na kujifanya mhenga na mwenye busara kugeuka kuwa NDOROBO...
 
Nimefurahi sana Mpoto alichokifanya...
Hii ilipangiliwa na ikapangilika ilivyotakiwa...
Hawa mbung'o wa TEC hawakutakiwa kujibiwa na serikali bali kudhihakiwa na wananchi wa kawaida kama Mpoto....na kweli waliaadhiriwa na sasa warudi kunywa mvinyo wa bwana na kuwa wapole....
 
Hivi Mrisho Mpoto ni msanii au kuna mamlaka fulani kapewa serikalini??
 
Sasa katika mwaliko wa aina hii, Fr. Kitima anhejuaje kama anaenda kushuhudia zoezi la utiaji saini wa huo mkataba!! Je, alitakiwa kukataa mwaliko wa Rais wa nchi?

Katika hili, nadhani Mrisho Mpoto amekurupuka! Na ameonesha ana uwezo mdogo wa kufikiri. Hata kama anajikombakomba ili mkono uende kinywani, nadhani amepitiliza kwenye kiwango cha kawaida.
Kwani TEC si wana intelejensia kali kuliko intelejensia yenyewe au? Intelejensia yao imeshindwaje kujua?
 
Mpoki was very right. Kitima ni binadamu tu na ana madhaiifu yoteeee. Wakristu walikuwa na malengo yao.
Je marehemu angekuwa hai wangempinga kama walivyojaribu mama
kipindi kile magufuri anasema Tz hakuna korona akaenda kanisani st. Joseph mapadri wote na masista wamevaa barakowa hukuwepo..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao huwa wanaandaliwa maalum kutoa mipasho kama mzee ropes alivyofanya vitu vyake bila aibu
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Naomba kuuliza: mbona invitation card ya Rais Mwinyi wa Zanzibar na ya Mufti na ya Dr James Mdee ziko hivo hivo? Na mbona mabango makubwa yakisema kutia sahihi yalikuwa mengi tu yanaonekana tangu huku ane Nane si angeyaona. Au tuseme hivi yeye alidhani kaitiwa nini? Kafanya kitu gani cha mno? Finally, baada ya kugundua ametapeliwa, au baada ya kutukanwa na limpoto, si angetoka nje aende zake? Huyu ni kada wa CHADEMA na ndiye alisema Waarabu watavunja Kanisa letu kongwe la St Joseph eti kupanua bandari. It is over, uamuzi ushapita.
 
Back
Top Bottom