Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Kwahiyo wewe Mungu wako ni Charles Kitima? Manake ndiye aliyedhihakiwa kwa unafiki wake.
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Erythrocyte leo umeniangusha. Huyu Mpoto alaumiwe kwa sababu gani wakati ni mbwa tu? Hivi unadhani alisema yale bila kuwa na baraka za Samia? Kimsingi Mpoto yeye ni kibaraka mchumia tumbo na anayosema na kutenda yanategemea upepo wa Samia unakoelekea. Ni kama alivyokuwa yule mwanakatihuru Musiba kipindi cha Magufuli. All in all, viongozi wa dini nao watafakari umuhimu wa kwenda Ikulu kila kunapokuwa na tukio. Ni kama kubariki maovu yanayofanywa na serikali. Huwezi kwenda ikulu kwenye kila shughuli za serikali halafu ukajitenga na maovu ya serikali.
 
Mungu ana njia njema zaidi.Angeondoka kwa ghafla ingetafsiriwa vinginevyo.Afadhali aliendelea kuwepo na tumeyajua hadi ya uandishi wa kadi ya mwaliko wa hafla.

cc: walimu wote kuanzia darasa la tatu wapewe sampuli ya kadi kwa ufundishaji mahiri zaidi.
Charles Kitima ni mnafiki. Alijua kinachoendelea. Hakuna mnafiki anayemaliza vizuri bila unafiki wake kufichuka.
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Msanii asiye na kipaji hafuatiliwi kama wewe unavyomfuatilia sana Mrisho Mpoto! Ahahahahaha!!!
 
Ilo wazo lako kusema ipo siku tutapigana wenyewe kwa wenyewe lishindwe na lilegee. Huna hekima na busara, umejaa udini. Unadhani nchi hii ni ya wakatoliki na waislam pekee? Peleka ujinga wako mbali. Wasio na dini nao hawatakubali upuuzi wenu
Mjinga wewe unayedhani kila siku tutakuwa daraja la kutangazia amani feki
Hoja ya TEC hujaielewa bila shaka.

Kwa Mwinyi yalienda Kombo sana mambo pesa ikawa Haina thamani na serikali Haina pesa.

Mkapa alikosea ubinafsishaji na kipindi like wengi hatukujua au hakukua na mwenye uhakika kwamba ule ubinafsishaji hautakua na tija. Mkapa mwenyewe kaeleza kwenye kitabu chake.

Magufuri alichofanya watanzania wengi tunapenda na tunamuunga mkono. Ukiwa na mentality ya omba omba Kila kitu unasema huwez, huo ni ujinga na kutokutaka kutumikisha akili. Magufuri alipambana kuondoa hiyo mentality kichwani mwetu.

Saiz tunarudi kulekule kwenye hatuwez. Wengine wamewwza vip?

Ushikaji na kuoneana aibu ndio kunaleta neno hatuwezi. Mkapa alitaka kumkamata na Mwinyi ila Nyerere akamwambia kama unamkamata huyu, na Mimi nikamate.

Kuna mambo mengi sana. Yatafute uyajue na uyaelewe.
Ungeanza kutafuta kwanza wewe ujue Mwinyi aliikuta nchi kwenye hali gani. Hadi kuja na "mkuki wenye ncha mbili"

Waulize wakubwa zako nini kiliwapata wakati wa mkatoliki Nyerere. Bidhaa zote muhimu hazikuwepo. Iliitwa miaka ya "hakuna"
Ukitaka sukari hadi uwe na kadi yenye Saini ya balozi na m/kiti wa kijiji. Na unauziwa Kwa mwezi mara moja.
Ukikutwa na dawa ya mswaki unaitwa mhujumu uchumi. Unawekwa kizuizini.

Pamoja na yote hayo,hao wanafiki unaowatetea hawakuwahi kuandika barua yeyote ya kichungaji.
Unajua kwanini?
1. Ni mkatoliki mwenzao.
2. Aliwafungulia mipaka kuagiza bidhaa zote muhimu kutokea Kenya tulipokuwa tumefunga mipaka yetu. Ruhusa hii ilikuwa maalumu kwa maaskofu tuu. Na waliitumia fursa hii vizuri Kwa kuwabatiza waislamu dhaifu waliokiwa na uhitaji kwa kisingizio cha misaada.
3. Alianzisha azimio la Arusha na utaifishaji wa Mali.
Hii aliifanya kwafaida ya kabisa lake. Wakati wao wakisoma na kuwabagua waislamu hadi wabatizwe,waislamu walijikita kwenye biashara. Na wakamiliki Mali nyingi. Hivyo alitaifisha mali zao ili kuwafanya raia daraja la pili.
4. Vijiji vya ujamaa. Aliwakusanyia mapadri na maaskofu watu wenye uhitaji mkubwa kwenye vijiji visivyo na miundombinu yeyote wala huduma muhimu,wakati huo wakatoliki Wana kila kitu kutokea Kenya Ili iwe rahisi kuwabatiza.
We mpiga magoti kwenye benchi huwezi jua haya.
Kukusaidia hebu soma kitabu alichoandika Padri John Sivalon "kanisa katoliki na siasa za Tanzania"
au "kwanini waislamu wanalalamika" vitakusaidia kufungua macho.
 
wakatoliki nawajua vizuri in and out katika siasa za kwetu na siasa za dunia hii najua nguvu zao kiroho na kisiasa. Ni kweli hata kwa rais mlutheri au dhehebu lolote lisilo la kikatoliki watamsigina tu kwa nyaraka zao wakiamua usidhani ni kwa rais muislam tu. Ni hulka yao na wakabiliwe kwa hoja hizo hizo wanazozijenga kuliko kusema eti kwa kuwa rais ni muislam wakati mnajua ni kila rais asiyekuwa mkatoliki watamlima waraka tu.
Hujui unachokipinga wala kukitetea
 
Acha Udini kwenye mambo ya kitaifa
Mwisho wa uislamu wako ni msikitini mnapokuwa waislamu kwa pamoja.

Nje na msikitini unakutana na jamii zenye imani tofauti.
Jifunze kuishi nazo!
Akiongea muislamu usijadili kwa kuwa muislam kaongea.
Pia akiongea mpagani au mkristo usijadili kwa kuwa mpagani au mkristo kaongea.
Jifunze kujadili hoja.
Usinipangie
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Sasa alimdhihaki mungu au binadamu anaueiywa Kitima? Au kitima siku hizi ni mungu
 
Tatizo halikuwa kwa Ikulu .ikulu hawalazimiki kutoa details zote za Mwaliko wa Rais.

Kitima anazo source za kutosha za habari za kujua anaalikwa Ikulu kwa shughuli gani? Alikuwa na muda wa kutosha kupata taarifa na kuamua.

Hata Fr Kitima hana kosa kuuzulia hafla hiyo. Maana ukipinga jambo na ukaalikwa kwenye jambo hilohilo sio dhambi. Maana yake wanathamini mchango wako.

Fr kuhudhulia ni sahihi kabisa Maana kwanza anatii Mamlaka na pia kuona ni kipi kimeendelea baada ya Kanisa kupinga IGA hadharani.

Tatizo kubwa la Fr Kitima na Kanisa katoliki ni kupinga IGA kabla hawajapata taarifa na ufafanuzi wa kutosha , kwa lugha nyepesi walilishwa matango pori. Maana IGA haikuwa na changamoto hizo walizozipinga.

Tatizo kubwa kwenye hafla ile ni kutumika kwa Wasanii Uchwara kama Mrisho Mpoto kuzodoa watu walionekana kuwa na mtazao tofauti na IGA, kwamba ni wanafiki na wamekuja kula Pilau.

Kuhusu Unafiki Mrisho yupo sahihi lakini haikutakiwa kusemwa hadharani ili kulinda heshima ya waalkwa.
Ushauri.

Ni vyema Serikali ikaacha kusaini mikataba kama vile sherehe za harusi kwa mapambio, Disco na Taarabu za kina mpoto.

Hakukua na sababu yeyote ya kusaini mkataba kwa sherehe hadharani.

kuna mfumo wa kusaini mikataba wa kiserikali , ni vyema ukaendelea kutumika.

Tupunguze taarabu kwenye mambo muhimu y serikal
Nimependa uchambuzi wako, niongezee tu hafla kama hiyo haikuwa na sababu ya kualika taarabu, na kama kulihitaji burudani wapo wasanii wasomi kama vicky kamata ni mbunge msoni na afisa habari wa tawa na anajua aongee nini na wakati gani.

Pia ni vizuri waalikwa kuelezwa wanaalikiwa nini ili wawe na hiari ya kwenda au la, huo wito haukuwa wa polisi kuwa usipoitikia utakuwa umetenda jinai,
 
Yupi mpumbavu? Je, aliyetoa hotuba kwamba maoni ya wananchi (wakiwemo akina Fr. Kitima) yamezingatiwa kufikia hayo makubaliano yaliyotiwa sahihi siku hiyo au yeye aliyeenda na mipasho ya kula pilau?

Wakati mwingine huyu mwezetu ni mtu wa kusamehe maana elimu aliyonayo na ukubwa wa jina lake ni vitu viwili tofauti, na kitokacho mdomoni ni reflection ya uwezo wa ubongo wa mtu kuchakata mambo.
Tuna wasanii wasomi kama mwanaFA, Vicky Kamata, tunaacha kualika hao tunaalika wavuta bangi, hapo usijekuta alilipwa 50m, hata dhima za malkia wanaalikwa akina Elton John na sio snoopy dogdog.

Hapa Zuhura yunus msigwa lazima waachie ngazi, angekuwa Dr Abbas ujinga huu usingetokea, mbona dhima za zanzibar kwa Hussain Mwinyi ujinga huu haupo.

Sasa nakubaliana na Dr Slaa kuwa haya machawa yanachezea kodi zetu.
 
Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.

Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .

Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa

View attachment 2794949

Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .

View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Mpoto toka aanze kuzingatia pesa hajawahi kuwa na akili za kufikiri
 
Daah! Mwanzo wa hii makala umenifanya nicheke sana "eti msanii asiye na kipaji".... Fr.awe na ngozi ngumu ndio siasa hiyo maana makanisa yetu kwasasa yanajihusisha na siasa moja kwa moja, wakiacha mate matendo maovu kuharibu jamii yetu ikiwamo ushoga, ambao unatetewa na baadhi ya makanisa.
 
Back
Top Bottom