Wakina MPoTo ndio sistimu yenyewe mkuuMpoto hana sifa tena ya kuwa msanii wa kusherehesha kwenye hafra za kitaifa,analibomoa taifa na kuonyesha amelewa madaraka, waandaji na waratibu wa hafra za kitaifa waachane naye kwa sasa. Ni mzigo kwa uongozi,anamharibia mama uchaguzi uko karibu.
Huyo jamaa nilimsikiliza na nimiongoni mwa wasanii wanaoikuza fasihi ya Mtanzania lakini kitendo cha kuwakebehi viongozi wa imani nimempuuzia sana...hata kama wangeenda kwa hiyari yao bila mwalikoMsanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Huyo msanii asiweza kuimba ila kuongea hana uelewa wowote kuhusu maswala muhimu ya taifa ila yy anangalia tumbo litapata nnMsanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Kama ni kudhihaki kamdhihaki Kitima na sio Mungu...... Kwani Charles Kitima ndiye Mungu wako?Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Amelipwa malipo ya unafiki wake.Ndio maana mzee wa watu alikuwa ameinama na kushika kichwa kama mtu ambaye hakuridhika na tukio lile
Hoja ya TEC hujaielewa bila shaka.Sina ninachowaogopa. Ila nachukia sana tabia zao hizo.
Wakati wa Mwinyi walimwandikia barua 14 za kichungaji kumuonya na kumkosoa. Kila biashara au jengo kubwa wakatudanganya ni Mali ya Mwinyi kupitia mkewe M. Sity.
Wakati wa Mkapa hatukuyasikia hayo. Pamoja na kuuza mashirika ya uma Kwa bei ya kutupa. Rejea machimbo ya makaa ya mawe Kiwira.
Sababu..
Alikuwa mkatoliki mwenzao.
Alipokuja Kikwete yakajirudia. Akaimbwa Ridh-wani. Na chadema wakaicheza ngoma ya wakatoliki. Wakapata sababu ya kutukana waislamu na uislamu. Hadi Leo yule mpuuzi wa chadema anadai anakula kiti moto na mashekh. Hizi ni dharau na kejeli walizorithi kutoka Kwa wakatoliki.
Alipokuja Magu tukaona unafiki wa maaskofu wa kikatoliki. Wakaimba Kila aina ya mapambio ya sifa.
Amekuja Samia wamerudia kutufanya wajinga. Kutaka kuonesha raisi akiwa muislamu hafanyi lolote zaidi ya ufisadi. Watawadanganya kondoo wao. Sio sisi.
Na huu upuuzi haujui tuu ni kiasi gani unaumiza na kujaza hasira vifuani mwetu. Ipo siku tutaheshimiana. Baada ya kupigana wenyewe Kwa wenyewe ndipo mtajua thamani ya amani na ubaya wa upuuzi wa chokochoko kama hizo
Mimi nalindwa na Allaah الله muumba wa mbingu na ardhi na ndiye ninayemuabudu peke yake.Endelea na kejeli zako utembelee magoti
mpoto ni mjinga sana sana. na ccm kama wanaelewa wajue huyu jamaa badala ya kuwaongezea ubora amewabomoa. yeye ni muislam na amemkebehi hivyo mbele za watu padre wa katoliki. anapata wapi ujasiri wa kukebehi imani za watu kwasababu pale ametaja viongozi wa dini waliopinga akimaanisha TEC? hata Samia hajawahi kufanya hicho kitu kwasababu anajua madhara yake, yeye sijui kavuta bange ya wapi anakuja kuharibu hali ya hewa. imebuma sasa, kitima katoa hadi kadi ya mwaliko na hali imerudi palepale kama ilivyokua awali.Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
kwenye hafla na rais, hata ukishikwa na mkojo hautakiwi kusimama kwenda kukojoa hadi yeye atakapoondoka. kama hujui hilo ujue. akiingia tu mtakaa kwa lazima hadi atakapoondoka.ukisimama utajua hujui.Sehemu ukivunjiwa heshima unatakiwa kusimama na kuondoka muda huohuo haijalishi alie mbele yako ni nani
Sahihi sana kakaPengine usichokijua wewe ni kuwa mwenzio (huyo msanii), usanii wake huo umekwisha mpaisha chati kwa watu wanaothamini usanii wa namna hiyo.
Kama bado huelewi ninachoeleza hapa, ngoja nikufafanulie vizuri: huyo mtu (msanii), hadi kupewa 'mike' aseme aliyoyasema, wanaomfuga walishajua umuhimu wa ujumbe wake kwa wakati sahihi ujumbe huo ulipotolewa.
Lakini tukiachana na hili la uwasilishaji ujumbe, bila shaka somo maalum tumelipata sisi sote, na hasa nyinyi kwenye vyama vya siasa tunaotegemea msaada wenu kutuongoza na kusimamia juhudi zetu za kuleta mageuzi.
Somo mahsusi kalitoa Samia, kwa wote ambao bado walikuwa na matumaini angalau kidogo juu yake kwamba hawezi kufanya mambo ya kufedhehesha nchi na yeye mwenyewe.
Hapa katuonyesha wazi kwamba uwezo wote wa kufanya uovu, utapeli, hakuna kinachomshinda huyu mama.
Kwa hiyo, wizi wa kura, na matakatakamengine yote yanayopelekea chaguzi zinazofuata kutokuwa na uhalali, haya ni mambo ya kawaida kabisa ya kuyategemea toka kwa huyu mtu.
Tulisha toa ushauri na njia za kuyakataa yote hayo. Mategemeo yetu ni kuwa hayo yaliyoshauriwa yangekuwa tayari yanafanyiwa kazi wakati huu kungali mapema. Lakini hatuoni kitu!
Kitima amelipwa unafiki wake.Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC.
Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai .
Kauli chafu za Mpagani Mrisho Mpoto alizozitoa hadharani hapo hapo ikulu mbele ya Rais hizi hapa
View attachment 2794949
Ikumbukwe kwamba Kitima aliitwa Ikulu kwa njia ya kitapeli ili kumuingiza mkenge , Mwaliko wake huu hapa .
View attachment 2794950
Bali kitu ambacho Mrisho Mpoto anapaswa kukielewa ni hiki , Mungu hadhihakiwi , leo anatembea Peku ili awafurahishe wanaomlipa , Lakini kesho aweza kutembelea magoti bila kulipwa .
Mzee wako amelipwa unafiki wake. Malipo ni hapa hapa.Ndio maana mzee wa watu alikuwa ameinama na kushika kichwa kama mtu ambaye hakuridhika na tukio lile
TulishampuuzaHuyo ni wa kumpuuza tu.
Kitima amelipwa unafiki wake. Mrisho Mpoto yuko sahihi sana.Sehemu ukivunjiwa heshima unatakiwa kusimama na kuondoka muda huohuo haijalishi alie mbele yako ni nani
Charles Kitima amelipwa unafiki wake. Mungu amemuongoza Mrisho Mpoto kumfichua mnafiki Kitima.Angetumia Intel Katoliki Vatikaniki na siyo anaanza kulia lia au angesepa baada ya kung'amua ni changa la macho.
Sasa hivi ni kama analia lia baada ya kuposwa na mzazi kala mahali. Kilichobakia ni kuhama nyumbani na kwenda kuishi kwa mume.