Acha story za magazeti ya udakuHakumsikia Mama yake juzi hapa alisema
Kama kwamba Diamond akienda kwenye misiba anakuwa star watu wanamlilia yeye na kuharibu misiba ya watu kwa kufanya watu walie na kuzimia.. na mengineyo aliyoyasema kumtetea..
Bora aendelee hivyo hivyo kutoenda kwenye misiba..
Mwisho wa siku atajiju..
Hapo diamond. Ukiweka jina lako. UtajckiajeeDiamond ana masharti kila alhamisi haendi popote zaidi ya kumlala mamaake na hii ni kutoka kwenye chanzo nyeti. Kesho ijumaa au jmosi ataenda msibani.
Umaarufu una gharama zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawa manage kivip Daud. Ebu fafanua kidogo.Iko kinyume, Diamond yeye ndiyo anawa-manage mameneja wake ndiyo maana kila kitu hewalaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mashindano ya kutafuta kiki yameisha ?Waafrica tunamatatizo sana, sasa diamond akienda ndio inakuwaje?
Wakazj wote wadar tukienda pale patatosha?
Pia amejuaje? Kama hataenda, kwani wameshazika??
we unahisi ni nani adi ifikie hatua ya kumuomba.
Mpoto tangu ameanza kuwa karibu sana na huyo jamaa wa hapo Dar sijui amekuwaje?
Kwani Diamond ni nani mpaka aombwe kwenda msibani? Ni yule Pastor mfufuzi wa South au?
Inamaana hadi Leo bado hujajuwa kama BABU TALE SALIM SK MKUBWA FELLA wapo chini ya DIAMOND.....? hao Kwa Diamond ni Madalali tu......wala sio-manage.......Anawa manage kivip Daud. Ebu fafanua kidogo.
we unahisi ni nani adi ifikie hatua ya kumuomba.
Na kama si Diamond si chochote kwann mnakesha kwenye page yake mki mhanikiza apost Msiba
Yani nimeshangaa sana.. Miafrica tuna matatizo sana.Kwa akienda yy diamond [emoji184] chibu D uyo alie kufa ata fufuka?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umegoma kabisa kunielewa mkuu,jaribu kusoma tena nilichoandika,try to read between the lines,mi mbona point yako nailewa na wala sijaipinga?.Hata angetumia picha gani kwa kifupi amekosea kupost instagram huo ndio ukweli.Hiyo picha sio ya bango la wasafi festival,baili ilikuwa wakati wa promo wa uzinduzi wake wa album ya a boy from Tandale Kenya.
Kama angekuwa na nia ya dhati kabisa ya kumshawishi Mondi aje msibani njia zilikuwa mbili nikumpigia simu au kwa uzito nikumfuata kwake na si hizi drama za Instagram.
Unamaanisha The late boss Ruge alikuwa na plan za kum exploit diamond ?Inamaana hadi Leo bado hujajuwa kama BABU TALE SALIM SK MKUBWA FELLA wapo chini ya DIAMOND.....? hao Kwa Diamond ni Madalali tu......wala sio-manage.......
Hao jamaa wabaya sana ndio waliochochea beef........ Ya Diamond na Luge
Unajua chanzo cha Diamond kugombana na Luge?? Ngoja nikujuze
Diamond baada yakuwa Star alishindwa kuendelea kuwa katika utawala wa Luge Cuz Luge alimu-impower Diamond kwanguvu zote akiamini Diamond anakua chini yake ili-amtumie.....Nyuma ya Diamond kulikuwa na akina MSAFIRI JUMA aka Papa Misifa nk......wakamtibulia mipango Luge ndipo wakina BABU TALE MKUBWA FELLA SALIM SK wakakubali kuwa chini ya Diamond.
Mimi bado hujanielewa kabisa.Umegoma kabisa kunielewa mkuu,jaribu kusoma tena nilichoandika,try to read between the lines,mi mbona point yako nailewa na wala sijaipinga?.
Sent using Jamii Forums mobile app