Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Sikupangii. Nakutakia mema kabla hujapata maradhi ya chuki na husuda kwa watoto wa watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupangii. Nakutakia mema kabla hujapata maradhi ya chuki na husuda kwa watoto wa watu.
Intelligent
Unahitaji kufanyiwa maombi maana hizi chuki kwa Diamomd sio za kawaida. Halafu jamaa alie donate sperm zake kwako nae inabidi umsamehe tu.
Sikupangii. Nakutakia mema kabla hujapata maradhi ya chuki na husuda kwa watoto wa watu.
Nakutaka wewe humsamehe huyo wa kwako au hasira zako zielekeze kwake sio kuwaingiza wasiohusika.
Kwani hayo unayoyatetea kuna aliyekuomba utetee ?
Diamond ana masharti kila alhamisi haendi popote zaidi ya kumlala mamaake na hii ni kutoka kwenye chanzo nyeti. Kesho ijumaa au jmosi ataenda msibani.
Umaarufu una gharama zake
Sent using Jamii Forums mobile app
MxiiiiiiieeeewNakutaka wewe humsamehe huyo wa kwako au hasira zako zielekeze kwake sio kuwaingiza wasiohusika.
MxiiiiieeeeewwwwwwKwani hayo unayoyatetea kuna aliyekuomba utetee ?
Duu kwa hiyo wewe uliitrack simu ya Mpoto?Unaafiki tu!!!diamond kampigia mpoto ampe kick maana anaona watu hawashoboki nae[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira basi mtoto mzuri, ukalale.
Punguza hasira basi mtoto mzuri, ukalale.
Halafu haipendezi mrembo kama wewe ukilala na moyo wenye chuki na mahasira.
Akili ni kutembea peku peku
Inahusu sana.
Hivi alikiba ameenda msibani? Au msiba upo insta alikopost R.I.P? Picha za kiba akiwa msibani? Au kiba sio wa muhimu?Pekupeku kama mpoto kwenye hili amefell Post yake imekaa vibaya....View attachment 1034579