Mrisho Mpoto utalaaniwa milele na uzao wako kwa kuwadhalilisha/kuwadhihaki walioalikwa Ikulu utiaji wa saini mikataba ya Bandari

Unaweza kuwa Jaji mzuri! Lakini mtu mzima unajiongeza kuwa hili si vema kulisema . Ukitumwa kumchinja mtoto wako can you dare doing that?
Sasa Mrisho Mpoto ana akili timamu? unadhani kama hajatumwa angethubutu kusema hayo tena Ikulu?
 
Umedhalilsha Maaskofu na wengine walioalikwa kwenye utiaji sahihi mikataba ya bandari. kama umetumwa na walitoa mwaliko, basi LAANA itakuandamana MILELE NA WATOTO WAKO/UZAO WAKO!
Mrisho Mpoto alichokifanya ni kutimiza mpango uliopangwa na CCM kwa baraka za mwenyekiti wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…