imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ninamuamini kwasababu mpaka sasa hakuna mtu kutoka huko aliyekanusha hata aliyetuhumiwa kutaka kubakwa yuko kimya wakati hizo ni tuhuma nzito sana.Erick Kabendera ndio reference yako? mawazo yake ni yake, kama unamwamini ni wewe usitake nasisi tuamini. Hata wewe ungeweza kuandika kitabu kama yeye tu.
Kwahiyo mimi ni nani nisiamini?