MSAADA: Afisa Utumishi amegoma kusitisha makato yangu hata baada ya kuwasilisha barua ya kusimamisha makato hayo kutoka benki

MSAADA: Afisa Utumishi amegoma kusitisha makato yangu hata baada ya kuwasilisha barua ya kusimamisha makato hayo kutoka benki

Miaka miwil iliyopita nilienda kukopa benki fulani hapa Tanzania, na wakatuma deni kwa Afisa Utumishi na deni lilikuwa ni 12M, kilichotokea Afisa utumishi akakosea akaandika bilioni 1.2!

Cha ajabu baada ya kumaliza mkopo benki ikanipa stop deduction nimpelekee afisa utumishi ili aondoe deni kwenye mfumo maana nimeshamaliza, cha ajabu Afisa Utumishi huyohuyo anakataa anasema ni kazi ya benki, narudi benki nawaeleza wanasema wao hawawezi maana wanaohusika ni Halmashauri!

Nimejaribu kuwasilisha hiyo barua kwa Mkurugenzi ila hakuna lililofanyiwa kazi mwezi huu wameendelea kukata, hapa niko njia panda.
Mpe chochote. Watumishi wa Tanzania hawafanyi kitu kama hakuna maslahi kwao
Mshike mkono kidogo
 
Miaka miwil iliyopita nilienda kukopa benki fulani hapa Tanzania, na wakatuma deni kwa Afisa Utumishi na deni lilikuwa ni 12M, kilichotokea Afisa utumishi akakosea akaandika bilioni 1.2!

Cha ajabu baada ya kumaliza mkopo benki ikanipa stop deduction nimpelekee afisa utumishi ili aondoe deni kwenye mfumo maana nimeshamaliza, cha ajabu Afisa Utumishi huyohuyo anakataa anasema ni kazi ya benki, narudi benki nawaeleza wanasema wao hawawezi maana wanaohusika ni Halmashauri!

Nimejaribu kuwasilisha hiyo barua kwa Mkurugenzi ila hakuna lililofanyiwa kazi mwezi huu wameendelea kukata, hapa niko njia panda.
Usiongee na huyo Afisa Utumishi kwa mdomo.

Andika barua, kupitia kwa mkuu wako wa Idara. Halafu ifuatilie mkono kwa mkono.

Ukijibiwa kwa barua, ondoka nayo nenda UTUMISHI wuzarani.
 
Duh uyo jamaa roho mbaya sana lkn fresh mwisho wa siku bank si hawazichukui wanakurudishia wewe sio mbaya
 
Next time nenda na kisu akikuambia hawez kuzuia makato mtie bisu la jicho... Huyo hr bwabwa
 
Kazi ndogo sana iyo shida maafisa utumishi wa local wanajimwambafai sana. Kama bado nijulishe kwa details PM
 
Miaka miwil iliyopita nilienda kukopa benki fulani hapa Tanzania, na wakatuma deni kwa Afisa Utumishi na deni lilikuwa ni 12M, kilichotokea Afisa utumishi akakosea akaandika bilioni 1.2!

Cha ajabu baada ya kumaliza mkopo benki ikanipa stop deduction nimpelekee afisa utumishi ili aondoe deni kwenye mfumo maana nimeshamaliza, cha ajabu Afisa Utumishi huyohuyo anakataa anasema ni kazi ya benki, narudi benki nawaeleza wanasema wao hawawezi maana wanaohusika ni Halmashauri!

Nimejaribu kuwasilisha hiyo barua kwa Mkurugenzi ila hakuna lililofanyiwa kazi mwezi huu wameendelea kukata, hapa niko njia panda.
hamia Arusha Kwa makonda Hilo ni chaaap wanamaliza
 
Back
Top Bottom