Msaada: Airtel University offer

Kwa mtazamo wangu airtel ndo mtandao bora kabisa wa mawasiliano kwa sasa kuliko mtandao wowote tanzania,

Kabla ckuwahi kujiunga bt baada ya voda na tigo kuzingua na mb8 nkahamia nyumba kubwa, sa iv raha tu napata dk kibao na mb za kutosha..

Karibun nyumba kubwa wakuu huhitaji univeso bundle
 
daah sie tusiokaa karibu na vyuo tunakomaa tu na mb 8....not fair though.

Hii ya Airtel sio lazma uwe karibu na chuo ukipata ile vocha yao popote pale unajiunga,, kuna ya siku na wiki mi nimeweka ya wiki 1500 ni GB 1 sms za kuzidi na Sipo karibu na chuo,, Mb 8 nazisikia kwa majirani tu
 
tulifikir watatujali kweli wanafunzi kumbe wameamua kutuchinjia Baharini
 


saa hivi hizo ukijiunga unapata 70mb
 
Mkuu hizi vocha zinapatikana maeneo ganiii haswa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…