Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Acheni kujiendekeza .Alisoma:
Primary: English Medium.
O level: private.
A. Level: government
Occupation:
1. Baba: mkulima.
2. Mama: mama wa nyumbani.
Dogo ndio anashughulika na appeal yake now. Anataka ata least apewe hata mkopo wa asilimia hamsini tu.
Je, kuna namna anaweza kusaidiwa katika hilo? Afanye nini?
With much thanks in advance
KochoAcheni kujiendekeza .
Huko nyuma aliwezaje kusoma?
Kashanyimwa sasa hata ukitukana haitakusaidia kitu.Kocho
wewe ni me au ke?Kashanyimwa sasa hata ukitukana haitakusaidia kitu.
Pambaneni na umasikini wenu.
Mbona makasiriko, Kwani hujui kama maisha yanabadilika bro? What if alimsomesha hana uwezo tena?Acheni kujiendekeza .
Huko nyuma aliwezaje kusoma?
Usipoteze muda wako kubishana na huyo jamaa hajitambuiMbona makasiriko, Kwani hujui kama maisha yanabadilika bro? What if alimsomesha hana uwezo tena?
Ni binti wa 2003.Mimi nilisoma shule style hyo hyo. Nmefika chuo nkaomba mkopo nakumbuka nkafungua account nkakuta imeandikwa "undefined".
Nkawaza hiyo hela si ningeenda kunywa koncho tu niwake?
Anyway, kusoma gvt advance sio kigezo.
Ye aende akaripoti apambane. Huo mkopo smtimes jau tu.
Mnaeza kuta mnampambania alaf akiupata anaenda kununua "ma-logo" nq yale masuruali mapana ya vijana. Takataka tu.
Hela niliyolipa application ya mkopo.Ni binti wa 2003.
" Nikawaza hiyo hela si ningeenda kunywa koncho tu niwake" - hela ipi mkuu? Uliyo Lipa ada private primary na secondary?
Wengine wazazi wameugua tu hapa sio kupendaMbona makasiriko, Kwani hujui kama maisha yanabadilika bro? What if alimsomesha hana uwezo tena?
Mungu ndo mjuzi zaidi, everything will be Okay.Wengine wazazi wameugua tu hapa sio kupenda
Shukuru mungu umekosa mkopo.Alisoma:
Primary: English Medium.
O level: private.
A. Level: government
Occupation:
1. Baba: mkulima.
2. Mama: mama wa nyumbani.
Dogo ndio anashughulika na appeal yake now. Anataka ata least apewe hata mkopo wa asilimia hamsini tu.
Je, kuna namna anaweza kusaidiwa katika hilo? Afanye nini?
With much thanks in advance
Kwa kua wewe Unayo hiyo degree ya kukupotezea muda ndo mana mwenzio ana ata hiyo degree ya kumpotezea muda mwache hapambane aipate kwanzaEti auwe mzazi aisee kisa mkopo wa kubeti kupoteza mda kweli wa afrika tuna laana.