MSAADA: Amenidhulumu pesa yangu lakini aliacha viatu vyake kwangu

Usikubali kuzulumiwa kizembe kama vp uza ng'ombe kwa kesi ya kuku
 
Kama mchana kasema hvyo mm nani nipinge jaman😋
 
Ungekuwa unataka kumuua ningekupa njia simple ya kumuua mtu kwa kutumia viatu vyake tu, uende ukajaribu.

Nilielekezwa tu lakini sijaijaribu
 
Nenda kaviache msikitini tu vitapata mtu na baada ya hapo mwenyewe Atakutafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…