Msaada anaejua Kampuni inayosafirisha mizigo kwa meli kutoka UK

Msaada anaejua Kampuni inayosafirisha mizigo kwa meli kutoka UK

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
2,438
Reaction score
6,313
Habarini wakuu wa jukwaa.

Naomba kufahamu yeyote anaejua kampuni ya uhakika wanao safirisha loose cargo kutoka UK.

Kuna Machine nataka ninunue zije kwa maji, kuzipandisha ndege kwa uzito wake gharama ya usafiri ni bei ya kiwanja.

Pia Mashine nyingi zimejaa madukani, wafanyabiashara wanaleta knock off za mchina, nadhani kwasababu ya watumiaji kukosa uelewa.

Natanguliza shukran.
 
Nenda facebook , tsfute jamaa moja anabiita KC hues analeta vitu kila mara; ofisi zake ziko mikocheni ; na sasa hivi yuko hapa likizo, naweza kukupa namba zake sema jamaa anajisikia sana
 
Nenda facebook , tsfute jamaa moja anabiita KC hues analeta vitu kila mara; ofisi zake ziko mikocheni ; na sasa hivi yuko hapa likizo, naweza kukupa namba zake sema jamaa anajisikia sana
KC hasafirishi tena mizigo ya watu, ni ya kwao tu wanayouza.
 
Nenda facebook , tsfute jamaa moja anabiita KC hues analeta vitu kila mara; ofisi zake ziko mikocheni ; na sasa hivi yuko hapa likizo, naweza kukupa namba zake sema jamaa anajisikia sana
Ulimaanisha KC global bila shaka.
 
Nenda facebook , tsfute jamaa moja anabiita KC hues analeta vitu kila mara; ofisi zake ziko mikocheni ; na sasa hivi yuko hapa likizo, naweza kukupa namba zake sema jamaa anajisikia sana
Kumbe Chris Lukosi huwa anajisikia sana!!
 
Kampuni ya Uhakika kusafirisha mzigo aina yeyote, kwa meli na pia kwa ndege ni
MK Logistics
+255 768 333 344
÷255786111999

Wapo kariakoo karibia na fire, mtaa wa twiga na nyamwezi.

Waambie umeelekezwa na yaqub, utapata discount.

Karibu mkuu.
Hawajibu hawa nilishawasiliana nao kimya, pia watu nimeona instagram wanalalamika hawajibiwi inquiries.
 
Yeah, unaweza kumtumia meseji WhatsApp su ukampigia asikujibu.

Anaculimbukeni flani hivi
Kumbe huku ndio kujisifia unakosema. Ndugu yangu hujawahi pata kazi ya kuwa busy na simu yako binafsi ikawa ndio simu ya kazi, unaweza kimbia simu.

Ubaya wa watu ambao hawajawahi kuwa famous huwa wanaamini ukishika simu inabidi ujibu na kupokea muda wowote. Nilienda ofisi fulani nikapewa simu niwe narepsond kwa wateja, kila siku zinaingia jumbe zaidi ya 200 na lazima uanze iliyoanza kuingia na umalizie ya mwisho. Ndio hivi mtu anadai unajisikia kisa katuma ujumbe saa 3, uko online ila mpaka saa 7 hujajibu.

Mtu anakuja na story na porojo badala kwenda direct kwenye point. Anapiga simu badala ya kutuma ujumbe au anatoa taarifa hazieleweki. Baadae anakuja lalamika
 
Kumbe huku ndio kujisifia unakosema. Ndugu yangu hujawahi pata kazi ya kuwa busy na simu yako binafsi ikawa ndio simu ya kazi, unaweza kimbia simu.

Ubaya wa watu ambao hawajawahi kuwa famous huwa wanaamini ukishika simu inabidi ujibu na kupokea muda wowote. Nilienda ofisi fulani nikapewa simu niwe narepsond kwa wateja, kila siku zinaingia jumbe zaidi ya 200 na lazima uanze iliyoanza kuingia na umalizie ya mwisho. Ndio hivi mtu anadai unajisikia kisa katuma ujumbe saa 3, uko online ila mpaka saa 7 hujajibu.

Mtu anakuja na story na porojo badala kwenda direct kwenye point. Anapiga simu badala ya kutuma ujumbe au anatoa taarifa hazieleweki. Baadae anakuja lalamika
Jamaa anajitahidi ila kama binadam wengine pia ana mapungufu, kuna majibu mengine sio mazuri kwa wateja, ila ni vitu vidogo vinavyirekebishika.

Pia kuna ile hali ya u busy uliopitiliza, ni vizuri kuajiri mtu atakae wajibu wateja mojakwa moja, kuna watu wanaulizia hawajibiwi, kiukweli inakatisha tamaa unauliza kitu unashida nacho hujibiwi, hii ni kwa biashara zote ni vizuri kuwa na mpango kazi wa kuhakikisha wateja wako wote wanahudumiwa ipasavyo kwa maslahi mapana ya kampuni/ofisi.
 
Back
Top Bottom