Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeibiwa? Maana gharama ya kuitafuta inaweza kuzidi thamani ya simu na ukaishiwa kupigwa tu fedha zako.Tecno Camon 16
Mpenzi achunguzwa....Imeibiwa? Maana gharama ya kuitafuta inaweza kuzidi thamani ya simu na ukaishiwa kupigwa tu fedha zako.
Kumbe ni mpango wa fumanizi !!!?Mpenzi achunguzwa....
Usihangaike, hata polisi wanasoma location ya minara, ukitaka kuanza kufanya triangulation, gharama ni kubwa.samahank nahitaji mtu anayeweza nisaidia katika hili tuingie deal anisadie kutafuta Location ya mahali ilipo simu yangu
Ni gharama na usumbufu sanaUsihangaike, hata polisi wanasoma location ya minara, ukitaka kuanza kufanya triangulation, gharama ni kubwa.
Na bado anaweza kuikosaNi gharama na usumbufu sana
nataka kujua tu ilipo maan imepotea ndani kulikua kuna watu ila wanakataa the thing I want niwa show hata kwa location kwamb simu kuna mtu kati yenu amechukua ni hivo tu kisha nita deal now natak evidence tu maan wanajifany wananisaidia kutafuta kinafikiImeibiwa? Maana gharama ya kuitafuta inaweza kuzidi thamani ya simu na ukaishiwa kupigwa tu fedha zako.
Ukipiga inaita?nataka kujua tu ilipo maan imepotea ndani kulikua kuna watu ila wanakataa the thing I want niwa show hata kwa location kwamb simu kuna mtu kati yenu amechukua ni hivo tu kisha nita deal now natak evidence tu maan wanajifany wananisaidia kutafuta kinafiki
Unakumbuka email yako?nataka kujua tu ilipo maan imepotea ndani kulikua kuna watu ila wanakataa the thing I want niwa show hata kwa location kwamb simu kuna mtu kati yenu amechukua ni hivo tu kisha nita deal now natak evidence tu maan wanajifany wananisaidia kutafuta kinafiki
Jaribu kuitafutia hapandio
Hili litawezekana kama simu yako uli-activate kujua location yake. Na pia huyo aliyeichukuwa aiwashe na asiwe amei-flush. Hivyo vi-tecno ku-flush si sekunde tu? Iphone ndiyo simu nzuri kwani anayeiba labda auze kama spare. Au kama ni IMEA namba uwe unazijua japo hii njia kwa mtu wa kawaida ni ngumu.nataka kujua tu ilipo maan imepotea ndani kulikua kuna watu ila wanakataa the thing I want niwa show hata kwa location kwamb simu kuna mtu kati yenu amechukua ni hivo tu kisha nita deal now natak evidence tu maan wanajifany wananisaidia kutafuta kinafiki
chukukua simu ya mtu wa karbu funguaSamahani nahitaji mtu anayeweza nisaidia katika hili tuingie deal anisadie kutafuta Location ya mahali ilipo simu yangu.