Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Mkuu,

Kwanza, pole kwa hali unayopitia.

Pili, dalili ulizojiwekea pia husababishwa na stress hasa Kwa mawazo hasi ya kujidhania umeambukizwa. Hii ni kutokana na ukweli kuwa, unawachukia au kuwanyanyapaa wenye ugonjwa huo.

Sasa akili yako inajirudi kudhani kuwa hata wewe unaweza kuwa muathirika.

Hivyo, dalili hizo hazina msingi wowote juu ya swala la kuambukizwa ama la.

Tatu, kupima ni hiari. Hupaswi kumlazimisha mtu apime. Kuna exception kadhaa zinazolazimisha. Mama wajawazito,wagonjwa na wanaolazimika kuonyesha majibu kwa mustakabali wa majukumu.

Hivyo, hupaswi kumlazimisha mwenzako kupima kwa nguvu.

Nne, kwa sasa relax. Hakuna kipimo kitakachodetect kwa usahihi uwepo wa virusi. Subiri mpaka muda ulioshauriwa kisha utaenda kujihakikishia. Acha wenge.

Tano, hupaswi kuegemea katika majibu ya mwenzako. Anaweza kuwa tayari ameambukizwa, wewe ukawa salama.

Unaweza kwenda na ukakuta anao, ukajifanyia ukatili wa kutisha. Kumbe hata huna. Vuta subra Mkuu.

Sita, wakati mwingine chukua tahadhari sana. Usiuogope UKIMWI tu, kuna magonjwa mengi yenye kuogofya.
 
Mkuu,

Kwanza, pole kwa hali unayopitia.

Pili, dalili ulizojiwekea pia husababishwa na stress hasa Kwa mawazi hasi ya kujidhania umeambukizwa. Hii ni kutokana na ukweli kuwa, unawachukia au kuwanyanyapaa wenye ugonjwa huo.

Sasa akili yako inajirudi kudhani kuwa hata wewe unaweza kuwa muathirika.

Hivyo, dalili hizo hazina msingi wowote juu ya swala la kuambukizwa ama la.

Tatu, kupima ni hiari. Hupaswi kumlazimisha mtu apime. Kuna exception kadhaa zinazolazimisha. Mama wajawazito,wagonjwa na wanaolazimika kuonyesha majibu kwa mustakabali wa majukumu.

Hivyo, hupaswi kumlazimisha mwenzako kupima kwa nguvu.

Nne, kwa sasa relax. Hakuna kipimo kitakachodetect kwa usahihi uwepo wa virusi. Subiri mpaka muda ulioshauriwa kisha utaenda kujihakikishia. Acha wenge.

Tano, hupaswi kuegemea katika majibu ya mwenzako. Anaweza kuwa tayari ameambukizwa, wewe ukawa salama.

Unaweza kwenda na ukakuta anao, ukajifanyia ukatili wa kutisha. Kumbe hata huna. Vuta subra Mkuu.

Sita, wakati mwingine chukua tahadhari sana. Usiuogope UKIMWI tu, kuna magonjwa mengi yenye kuogofya.
[emoji120] nimekuelewa
 
Analazimisha kuambukizwa. Yeye badala ya kuamini majibu aliyopewa, anapelekwa na hofu zake. Mtu kugoma kwenda kupima siyo dalili ya kuwa kakuambukiza ugonjwa. ANYWAY, HASIRUDIE KUHUZA MECHI. MECHI INAHUZWA MKISHAPIMA
Kabisa
 
Yani imefikia hatua usiku sipati usingizi nawaza tu itakuaje ndio nimeshaukwaa..nimekuwa na utaratibu kila nikiamka nachukua kioo na kuanza kujiangalia kifuani na na usoni kama nina vipele[emoji17]
Nitaandika mkasa wangu hapa pia,, ila unachokisema ni kama umenisemea mimi. Nilienda vituo tofauti vya afya karibia kila siku, na kuna hospital moja hadi yule dokta alijua naelekea kuchanganyikiwa sababu kila nilipoona utofauti kidogo wa mwili, mfano kipele kikubwa kwenye ngozi hata kama ni kimoja basi nilienda huku nalia. Acha kabisa
 
Back
Top Bottom