Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Wewe jamaa kwanza ni muoga sijawai ona mimi hizo situations nishakutana nazo zaidi ya mara tatu na kuna doctor alinambia uoga huwa unafanya mwili ureact vile unavyofikiria wewe ila mwisho wa siku hauna ugonjwa hiyo ni hali ya kawaida hata mimi nimepitia zaidi ya mara tatu ila sio kwa kiwango chako cha stress ila cha kukushauri kwa ulivyo muoga usipige peku wewe au uwe unapima before kupiga maana wewe unaeza kufa kwa mawazo kabla ya HIV yenyewe haijakuua
Pamoja mkuu alichozidi kunivuruga ni kukataa kwenda kupima alafu miezi 6 iliyopita alikuwa MBEYA yani ndio kazidi kunivuruga [emoji17][emoji17]
 
Pole sana mdogo wangu ila achana na zinaa na kama huwezi kuacha basi jitahidi kutumia kondom ili kuepusha haya unayoyapitia sasa.kwa uzoefu wangu virus vya ukimwi huonekana baada ya miezi mitatu toka ulipopata maambukizi kwa kutumia vifaa kama sd bioline.hvyo ni vema ukasubiri kwa huo mda japo kuna vifaa vya kutzama ndan ya wiki ila ni gharama sana kama unao uwezo tembelea muhmbili.incase ikitokea umepata maambukiz basi pia usikate tamaa ni hali ya kawaida na maisha yataendelea kama kawaida
 
Wewe jamaa kwanza ni muoga sijawai ona mimi hizo situations nishakutana nazo zaidi ya mara tatu na kuna doctor alinambia uoga huwa unafanya mwili ureact vile unavyofikiria wewe ila mwisho wa siku hauna ugonjwa hiyo ni hali ya kawaida hata mimi nimepitia zaidi ya mara tatu ila sio kwa kiwango chako cha stress ila cha kukushauri kwa ulivyo muoga usipige peku wewe au uwe unapima before kupiga maana wewe unaeza kufa kwa mawazo kabla ya HIV yenyewe haijakuua
Nilishabishana mpaka na mpimaji Hospital alivyoniambia Negative nikaanza kumuelezea hali yangu ilivyo yani niliyokuwa namtolea macho mpaka akaanza kuniogopa..
 
Pole sana mdogo wangu ila achana na zinaa na kama huwezi kuacha basi jitahidi kutumia kondom ili kuepusha haya unayoyapitia sasa.kwa uzoefu wangu virus vya ukimwi huonekana baada ya miezi mitatu toka ulipopata maambukizi kwa kutumia vifaa kama sd bioline.hvyo ni vema ukasubiri kwa huo mda japo kuna vifaa vya kutzama ndan ya wiki ila ni gharama sana kama unao uwezo tembelea muhmbili.incase ikitokea umepata maambukiz basi pia usikate tamaa ni hali ya kawaida na maisha yataendelea kama kawaida
[emoji120] leo ni siku ya 26 toka tukio siku ya tukio [emoji17]
 
Wewe jamaa kwanza ni muoga sijawai ona mimi hizo situations nishakutana nazo zaidi ya mara tatu na kuna doctor alinambia uoga huwa unafanya mwili ureact vile unavyofikiria wewe ila mwisho wa siku hauna ugonjwa hiyo ni hali ya kawaida hata mimi nimepitia zaidi ya mara tatu ila sio kwa kiwango chako cha stress ila cha kukushauri kwa ulivyo muoga usipige peku wewe au uwe unapima before kupiga maana wewe unaeza kufa kwa mawazo kabla ya HIV yenyewe haijakuua
Kwel jamaa anaupenda sana uhai sana....

Miilli yetu ni ya udongo na mavumbi ni mavumbi tutarud udongoni.......

Huku UNAKWEPA UKIMWI ALAF UNAKUFA KWA MARALIA........

Ukiwaza maradhi ni HAZINA HUWEZI KUNUNUA SHANGINGI......

NDUGU ZANGU HIV/AIDS IS REAL
 
Kwel jamaa anaupenda sana uhai sana....

Miilli yetu ni ya udongo na mavumbi ni mavumbi tutarud udongoni.......

Huku UNAKWEPA UKIMWI ALAF UNAKUFA KWA MARALIA........

Ukiwaza maradhi ni HAZINA HUWEZI KUNUNUA SHANGINGI......

NDUGU ZANGU HIV/AIDS IS REAL
Situation niliyoipitia apo before ni ngumu na mbaya kuna siku nipo kwenye gari naende Hindu mandal hospital kigogo pale kwenye ule mteremko nikaliona lori linakuja yani akili yangu ikawa inanituma nilifuate ili tugongane uso kwa uso nilijiona sina thamani kabisa[emoji17][emoji17]
 
Nitaandika mkasa wangu hapa pia,, ila unachokisema ni kama umenisemea mimi. Nilienda vituo tofauti vya afya karibia kila siku, na kuna hospital moja hadi yule dokta alijua naelekea kuchanganyikiwa sababu kila nilipoona utofauti kidogo wa mwili, mfano kipele kikubwa kwenye ngozi hata kama ni kimoja basi nilienda huku nalia. Acha kabisa
😀 😀 pole kijana wengeee ni hatari sanaa unaugua ukimwi kablda ya kuupata
 
Yani bado naamini kuwa yule demu akikubali kupima akikutwa hana maambukizi na mimi ndio moyo wangu utapowa so sad
Kama anatumia dawa kwa usahihi je? Viral road wakawa chini. Akipima akakutwa negative wakati ni +ve ilio jikubali? Utafanyaje?..
Jali afya yako ndugu, fatia utaratibu kama ni kuendelea kusubiri ufanye ya bioline au kama unaweza fanya iko kipimo cha damu, ondoa woga, punguza wasiwasi. 😂
Kwanza kwanini unawaza kuambukizwa? Ulipeleka moto hadi ukachubuka au?"😂😂😂😂😂
HIV ipo ndugu lakin pia kupata/kutopata sio kirahisi ivyo..
 
Kama anatumia dawa kwa usahihi je? Viral road wakawa chini. Akipima akakutwa negative wakati ni +ve ilio jikubali? Utafanyaje?..
Jali afya yako ndugu, fatia utaratibu kama ni kuendelea kusubiri ufanye ya bioline au kama unaweza fanya iko kipimo cha damu, ondoa woga, punguza wasiwasi. [emoji23]
Kwanza kwanini unawaza kuambukizwa? Ulipeleka moto hadi ukachubuka au?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HIV ipo ndugu lakin pia kupata/kutopata sio kirahisi ivyo..
Michubuko sina uhakika kama ilitokea nachoogopa ni ule mda nilioutumia kwenye Round ya kwanza tu zaidi ya dk 45[emoji29][emoji29] maandalizi nilifanya zaidi ya dk30..
 
Kama anatumia dawa kwa usahihi je? Viral road wakawa chini. Akipima akakutwa negative wakati ni +ve ilio jikubali? Utafanyaje?..
Jali afya yako ndugu, fatia utaratibu kama ni kuendelea kusubiri ufanye ya bioline au kama unaweza fanya iko kipimo cha damu, ondoa woga, punguza wasiwasi. [emoji23]
Kwanza kwanini unawaza kuambukizwa? Ulipeleka moto hadi ukachubuka au?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HIV ipo ndugu lakin pia kupata/kutopata sio kirahisi ivyo..
Nitasubiri iyo miezi 3 mwenyezi mungu akipenda..
 
Back
Top Bottom