Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Acha ufike darajani ndipo upige hesabu za kuvuka, unaweza jiumiza kuwaza utavukaje kumbe daraja lipo sawa na hakuna changamoto yoyote
 
Shida ni kwamba tamaa iliingia kwenye akiri yenye changamoto,,jipe muda ,tuliza hulka ya ukurupukaji,jishushe kwake kwanza ili wote wawili mkacheki afya, tofaut na hapo unaweza sababisha tatizo Kwa huyo binti shida ni kwamba ulitanguliza ukurupukaji ukaropoka huwez jua Kwa maneno uliyomwambia uwezo wake wa akili upoje je anaweza kuhimili mshtuko wa kauli zako? Jishushe muite mzungumze mambo mnayopitia yapo ndani ya jamii hivyo wewe sio wakwnza hebu tumia nafasi hiyo ya majibu uliyopata hrf mjenge mwenzio vzr kisaikolojia!
 
Relex Mwanaume
Jipe Muda hii ilishamtokea mdogo wangu
Alizunguka sana kama wewe
Nilipata wakati mgumu kumjenga kisaikolojia.
Jipe time afu pia Shughulisha Akili yako na mambo mengine kama michezo.
Usipokua makini utajiua mwenyewe.
 
Shida ni kwamba tamaa iliingia kwenye akiri yenye changamoto,,jipe muda ,tuliza hulka ya ukurupukaji,jishushe kwake kwanza ili wote wawili mkacheki afya, tofaut na hapo unaweza sababisha tatizo Kwa huyo binti shida ni kwamba ulitanguliza ukurupukaji ukaropoka huwez jua Kwa maneno uliyomwambia uwezo wake wa akili upoje je anaweza kuhimili mshtuko wa kauli zako? Jishushe muite mzungumze mambo mnayopitia yapo ndani ya jamii hivyo wewe sio wakwnza hebu tumia nafasi hiyo ya majibu uliyopata hrf mjenge mwenzio vzr kisaikolojia!
Nilivyozidi kumsumbua kuwa kaniambukiza HIV alinijibu " please naomba uniache sipendi icho unachonifanyia na mimi nikazidi kuendelea kumlalamikia dk za mwisho akawa ananiambia sasa itakuaje na mimi nimeshakuambukiza HIV vp unaogopa uku akicheka akaendelea kusema usijali si utakunywa dawa..apo ndio nilipagawa na kuanza kulia peke yangu..mind torture ni hatari yani aliweza kunivuruga kiakili nikawa kama chizi[emoji17][emoji17]..
 
Mie ni mtu wa Afya....

Hapo kwa vipimo vya awali hauna UKIMWI. Kinachokutesa ni saikolojia tu....NEVER GOOGLE YOUR SYMPTOMS!

Baada ya miezi 3 kapime tena! U are ok!

NB: epuka ngono zembe, utakufa!
 
Mie ni mtu wa Afya....

Hapo kwa vipimo vya awali hauna UKIMWI. Kinachokutesa ni saikolojia tu....NEVER GOOGLE YOUR SYMPTOMS!

Baada ya miezi 3 kapime tena! U are ok!

NB: epuka ngono zembe, utakufa!
[emoji120][emoji120].. VIJANA TUEPUKE NGONO ZEMBE
 
Mkuu kuwa careful,mawazo mengi yana affect immune system, utaanza kupata infections udhanie una ukwimwi kweli.... fanya mazoezi during the day yatakayokufanya uchoke ulale, au tafuta hobby kama swimming,kwenda church kwa mafunzo etc, namaanisha usikae idle.
 
Wiki 2 na siku 5 zilizopita nimetoka kuuza mechi( yani kupiga kavu) na demu ambae tunajuana kwa muda mrefu.. balaa likaja baada ya kupita wiki 1 na siku kazaa nilipata mafua makali lakini yakakata baada ya siku 2.

Siku niliyopata mafua nimelala ghafla tu usiku mawazo yakaja kuwa yule demu atakuwa amekuambukiza ukimwi. Nikaanza kuwa mtu wa mawazo nikaamua ku google dalili za mwanzo za ukimwi lohh karibu 3 au 4 ninazo mwili kukosa nguvu, magoti kuchoka, koo kuuma kama maumivu ya matonsil, pamoja na vipele vidogo vidogo kutoka mgongoni.

Wakuu napata mawazo mpaka kichwa upande wa kisogoni kunawaka moto.. nikaanza kuvurugwa na kuanza kumtumia demu meseji za ajabu kama vile "" kwanini umenifanyia hivi si ungesema tu kuliko kuniua demu aka react na kuniuliza kuwa anielewi ninachomaanisha nikamchana live kuwa kaniambukiza ukimwi.

Nikamwambia kama kweli unajiona uko salama twende tukapime dohhh alikataa kata kata na mimi ndio nikazidi kudata kwa mawazo nimembeleza tukapime wapi.. Nikajipa tiki tu direct kuwa mimi tayari ni muathirika, baada ya kufika wiki 2 nikaenda kupima mwenyewe kwakuwa nilishajikatia tamaa sikuwa naogopa kabisa.

Nilipimwa na kukutwa Negative nikaambiwa nipime tena baada ya miezi sita kidogo nikawa na furaha lakini baada ya muda yakaja mawazo mengine vijidudu ni ngumu kuonekana baada ya wiki 2 nikaanza upya mawazo..nikaenda kupima tena sehemu nyingine majibu yakawa yale yale mpaka nikaanza kubishana na mpimaji na kuanza kumuelezea dalili zangu akaniambia nirudi tena baada ya miezi mitatu..

Ikafika hatua nikatamani nitafute mganga amroge. Yule demu ili nikimwambia tukapime basi asikatae...Najua kuna wataalamu wa afya hapa JF naombeni msaada wenu kwa hili ninalopitia.

Thanks
Unajijua unayo presha unaenda kupima ili hiweje wewe ishi nao2 huo ukimwi.Ukimw sasa kma kuumwa kichwa acha huoga ww
 
nmecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23] watu mnaogopa kufa jamani.
Kitu wasichojua wengi ni kwamba yapo magonjwa ya kuambukiza mabaya zaidi ya HIV ambayo nayo ni Virus pia
na hizo hofu zinafanya kinga ya mwili inashuka kama HIV tu ndo mana ukiwa na stress/hofu nyingi unajikuta unapata maradhi ya ajabu ajabu!! Ipo nguvu juu ya amani ya moyo ukiwa na amani tu utashanga aunapona mambo mengi sana
Kama magonjwa yapi?
 
Wiki 2 na siku 5 zilizopita nimetoka kuuza mechi( yani kupiga kavu) na demu ambae tunajuana kwa muda mrefu.. balaa likaja baada ya kupita wiki 1 na siku kazaa nilipata mafua makali lakini yakakata baada ya siku 2.

Siku niliyopata mafua nimelala ghafla tu usiku mawazo yakaja kuwa yule demu atakuwa amekuambukiza ukimwi. Nikaanza kuwa mtu wa mawazo nikaamua ku google dalili za mwanzo za ukimwi lohh karibu 3 au 4 ninazo mwili kukosa nguvu, magoti kuchoka, koo kuuma kama maumivu ya matonsil, pamoja na vipele vidogo vidogo kutoka mgongoni.

Wakuu napata mawazo mpaka kichwa upande wa kisogoni kunawaka moto.. nikaanza kuvurugwa na kuanza kumtumia demu meseji za ajabu kama vile "" kwanini umenifanyia hivi si ungesema tu kuliko kuniua demu aka react na kuniuliza kuwa anielewi ninachomaanisha nikamchana live kuwa kaniambukiza ukimwi.

Nikamwambia kama kweli unajiona uko salama twende tukapime dohhh alikataa kata kata na mimi ndio nikazidi kudata kwa mawazo nimembeleza tukapime wapi.. Nikajipa tiki tu direct kuwa mimi tayari ni muathirika, baada ya kufika wiki 2 nikaenda kupima mwenyewe kwakuwa nilishajikatia tamaa sikuwa naogopa kabisa.

Nilipimwa na kukutwa Negative nikaambiwa nipime tena baada ya miezi sita kidogo nikawa na furaha lakini baada ya muda yakaja mawazo mengine vijidudu ni ngumu kuonekana baada ya wiki 2 nikaanza upya mawazo..nikaenda kupima tena sehemu nyingine majibu yakawa yale yale mpaka nikaanza kubishana na mpimaji na kuanza kumuelezea dalili zangu akaniambia nirudi tena baada ya miezi mitatu..

Ikafika hatua nikatamani nitafute mganga amroge. Yule demu ili nikimwambia tukapime basi asikatae...Najua kuna wataalamu wa afya hapa JF naombeni msaada wenu kwa hili ninalopitia.

Thanks
Dahhh we jamaa muoga sana Aisee, yani unaogopa hivo ukimwi miaka hii ya watu kuishi na ukimwi ni Amani kuliko Sukari

Hofu yako ndio itakupa ukimwi trust me, maana unalazimisha uonekane unayo, we ilitakiwa baada ya kupima na kukutwa huna ujione Mshindi

We umekula mara moja tu Wenge kama lote, kupata ukimwi nayo waga ni kama bahati, yani hadi ubahatike ndio unapata ukimwi

Nakupa short story kuhusu Mie, wakati bado nipo chuo nimerudi likizo home, nikakuta mtaani kuna sister moja hivi Kali balaa, linafanya kazi uhamiaji

Lile manzi likawa na ushikaji na sister yangu kwahiyo wakawa wanaukaribu, wanatoka out namie naalikwa naibuka nao kuwapa kampani, Kwenye live band and so on

Kutokana na uzuri wake na standard zake jamaa wakawa wanaiogopa hivo nahisi ule upweke wake plus upwiru likajikuta linaangukia Kwangu

Nikawa nakula almost kila siku, kuna muda hadi usiku wa manane demu linanipigia simu linataka tumit, linakuja na Ndinga me natoka nazama ndani tunasepa

Kumbe huo muda manzi alikuwa na Mimba, me nilikuwa nashangaa huyu manzi hedhi anaingiaga lini mbona karibia kila week me naweka

Sasa muda ukafika nikarudi zangu chuo, wakati nipo huko ndo sister akanambia kuwa Fulani ujue ni mjamzito ila sio Mimba yako maana ulimkuta nayo, ndo nikajua ohhh kumbe ndomana sikuwahi kuskia yupo hedhi

Ehhhhh, mara ghafra siku moja sister ananipigia sana simu me Niko pindi sikupokea nikaweka na silent nikatia simu kwenye bag, nimekuja kutoka nakuta missed call kama 20 hivi

Mhhh nikashtuka sana, basi nikampigia ohhhh wacha apokee huku analia hadi kwikwi, ananiambia Fulani amejifungua ahhh me nikajua labda mtoto kafariki, ananiambia ila wakati anajifungua ndio amejua kuwa Ameathirika

Kwahiyo amechanganyikiwa maana anajua namie nimeungua, ikabidi nimdanganye nikamwambia hapa chuo me nipo kwenye club ya wachangia DAMU, kila baada ya muda Fulani tunapima na nimetoka kupima mwezi uliopita Tu

Katika harakati za kumtafuta yule manzi nimpe hongera akawa hapokei simu zangu wala hajibu SMS, hadi alipokuja kunitafuta yeye mwenyewe na kuniomba sana samahani, alafu cha ajabu akakutana namie Niko fresh tu hadi akawa anashangaa

Kipindi hicho nimekuwa mfuasi wa jamaa mmoja hivi humu JF anajiita Deception, alikuwa ameanzisha Uzi wa kupinga uwepo wa virus wanaosababisha ukimwi, Uzi ulikuwa mkubwa sana kipindi hicho, kutokana na Nondo za jamaa nikawa naamini kuwa ukimwi kama tafsiri ya upungufu wa kinga mwilini, na sio Kwa sababu ya HIV virus

Kwahiyo ile habari ya manzi kuungua imekuja kipindi ambacho psychological Niko vizuri sana, wala sikuteteleka na hizo issue ila ndugu zangu ndio walikuwa na hofu sana, na sikuwahi kupima hadi nilipokuja kupima mwaka huu tena Kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu na nikakutwa Negative

Sasa kwa uoga wako kijana, ungekutwa kwenye scenario kama yangu ambayo unakuwa na uhakika kabisa kuwa uliekula ameungua sijui ingekuaje, hapo tu huna uhakika kama kaungua ila Una wenge ni balaa
 
Back
Top Bottom