Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Msaada baada ya kuuza mechi nimekuwa mtu wa kuhisi nimeambukizwa UKIMWI

Pole sana mkuu kabla ya yote ni vizuri kupima kwanza hata uwe umempendaje hata awe na shepu ipi hata awe mzuri vipi check first!!!

Afya kwanza mengine yapo tu!
Kama maandalizi yakiwa powaa na kukilainika kiasi isitokee michubuko hauwez kuupata......

Mkuu tulio uza mechi Kwa macho unatuogopeshaa🤓🤓🤓😔😔😔
 
Wiki 2 na siku 5 zilizopita nimetoka kuuza mechi( yani kupiga kavu) na demu ambae tunajuana kwa muda mrefu.. balaa likaja baada ya kupita wiki 1 na siku kazaa nilipata mafua makali lakini yakakata baada ya siku 2.

Siku niliyopata mafua nimelala ghafla tu usiku mawazo yakaja kuwa yule demu atakuwa amekuambukiza ukimwi. Nikaanza kuwa mtu wa mawazo nikaamua ku google dalili za mwanzo za ukimwi lohh karibu 3 au 4 ninazo mwili kukosa nguvu, magoti kuchoka, koo kuuma kama maumivu ya matonsil, pamoja na vipele vidogo vidogo kutoka mgongoni.

Wakuu napata mawazo mpaka kichwa upande wa kisogoni kunawaka moto.. nikaanza kuvurugwa na kuanza kumtumia demu meseji za ajabu kama vile "" kwanini umenifanyia hivi si ungesema tu kuliko kuniua demu aka react na kuniuliza kuwa anielewi ninachomaanisha nikamchana live kuwa kaniambukiza ukimwi.

Nikamwambia kama kweli unajiona uko salama twende tukapime dohhh alikataa kata kata na mimi ndio nikazidi kudata kwa mawazo nimembeleza tukapime wapi.. Nikajipa tiki tu direct kuwa mimi tayari ni muathirika, baada ya kufika wiki 2 nikaenda kupima mwenyewe kwakuwa nilishajikatia tamaa sikuwa naogopa kabisa.

Nilipimwa na kukutwa Negative nikaambiwa nipime tena baada ya miezi sita kidogo nikawa na furaha lakini baada ya muda yakaja mawazo mengine vijidudu ni ngumu kuonekana baada ya wiki 2 nikaanza upya mawazo..nikaenda kupima tena sehemu nyingine majibu yakawa yale yale mpaka nikaanza kubishana na mpimaji na kuanza kumuelezea dalili zangu akaniambia nirudi tena baada ya miezi mitatu..

Ikafika hatua nikatamani nitafute mganga amroge. Yule demu ili nikimwambia tukapime basi asikatae...Najua kuna wataalamu wa afya hapa JF naombeni msaada wenu kwa hili ninalopitia.

Thanks
Yaani nimecheka kwa sauti! Kwa hiyo furaha yako ni kwamba kipimo kionyeshe unao au??

Next time tumia condoms, UKIMWI upo na unatesa!
 
Polee monger[emoji23][emoji23] kwaio umemuacha?? Baada ya kukataa kupima..
Nimebaki kumtumia txt za uzuni tu kuwa ajitaidi kutumia dozi vizuri ili asije kuwaambukiza wengine kama alivyonifanyia mimi cc Dahan.
 
Wiki 2 na siku 5 zilizopita nimetoka kuuza mechi( yani kupiga kavu) na demu ambae tunajuana kwa muda mrefu.. balaa likaja baada ya kupita wiki 1 na siku kazaa nilipata mafua makali lakini yakakata baada ya siku 2.

Siku niliyopata mafua nimelala ghafla tu usiku mawazo yakaja kuwa yule demu atakuwa amekuambukiza ukimwi. Nikaanza kuwa mtu wa mawazo nikaamua ku google dalili za mwanzo za ukimwi lohh karibu 3 au 4 ninazo mwili kukosa nguvu, magoti kuchoka, koo kuuma kama maumivu ya matonsil, pamoja na vipele vidogo vidogo kutoka mgongoni.

Wakuu napata mawazo mpaka kichwa upande wa kisogoni kunawaka moto.. nikaanza kuvurugwa na kuanza kumtumia demu meseji za ajabu kama vile "" kwanini umenifanyia hivi si ungesema tu kuliko kuniua demu aka react na kuniuliza kuwa anielewi ninachomaanisha nikamchana live kuwa kaniambukiza ukimwi.

Nikamwambia kama kweli unajiona uko salama twende tukapime dohhh alikataa kata kata na mimi ndio nikazidi kudata kwa mawazo nimembeleza tukapime wapi.. Nikajipa tiki tu direct kuwa mimi tayari ni muathirika, baada ya kufika wiki 2 nikaenda kupima mwenyewe kwakuwa nilishajikatia tamaa sikuwa naogopa kabisa.

Nilipimwa na kukutwa Negative nikaambiwa nipime tena baada ya miezi sita kidogo nikawa na furaha lakini baada ya muda yakaja mawazo mengine vijidudu ni ngumu kuonekana baada ya wiki 2 nikaanza upya mawazo..nikaenda kupima tena sehemu nyingine majibu yakawa yale yale mpaka nikaanza kubishana na mpimaji na kuanza kumuelezea dalili zangu akaniambia nirudi tena baada ya miezi mitatu..

Ikafika hatua nikatamani nitafute mganga amroge. Yule demu ili nikimwambia tukapime basi asikatae...Najua kuna wataalamu wa afya hapa JF naombeni msaada wenu kwa hili ninalopitia.

Thanks
Inaonekana una ufahamu wa mambo,sasa sie tutakayo kuambia si Msaada kwako
 
Mkuu namuomba mwenyezi mungu panapo majaliwa tarehe 9 mwezi wa 9 ndio itakuwa zinatimia Siku 90 yani miezi 3 nikapime tena.
Utatupa mrejesho lkn hauna, kwasababu kama unapata mafua means virusi tayari vipo kwenye damu na kinga ya mwili imeshuka hivyo lazima vingeonekana.
Umepima havionekani jaribu kufua neti, mashuka, kusafisha feni labda ni vumbi tu Mzee😹
 
Utatupa mrejesho lkn hauna, kwasababu kama unapata mafua means virusi tayari vipo kwenye damu na kinga ya mwili imeshuka hivyo lazima vingeonekana.
Umepima havionekani jaribu kufua neti, mashuka, kusafisha feni labda ni vumbi tu Mzee[emoji81]
[emoji1666] pamoja mkuu
 
Negative..Negative nimepima na kukuta Sina maambikizo asanteni sana ndugu zangu wa JF Kwa kunipa moyo kwenye kipindi kile kigumu nilichokuwa napitia..
 
Umri wako tafadhali...! Maana jambo ulilo lifanya ni la kitoto sana, jukumu la kujilinda afya Yako ni lako mwenyewe. Sasa what if ungekutwa umeambukizwa ungemfanyaje huyo Binti wa watu...? Wewe ndio ulimtongoza na NY*ge zako zikakutuma umle peku.

Sijaona kosa lake Hadi utake kujua afya yake. Kwani ulikuwa na mpango wa kumuoa...?​
 
Back
Top Bottom