political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
- Thread starter
- #141
Nakuja PM kwako fastaaaTuonane dear nikupongeze vizur[emoji85][emoji85][emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja PM kwako fastaaaTuonane dear nikupongeze vizur[emoji85][emoji85][emoji85]
Maambulizi sex continues Kwa miaka 3Husingehuza mechi banaa..!!! ANyway, siku nyingine HUSIRUDIE KUHUZA MECHI
Umri wako tafadhali...! Maana jambo ulilo lifanya ni la kitoto sana, jukumu la kujilinda afya Yako ni lako mwenyewe. Sasa what if ungekutwa umeambukizwa ungemfanyaje huyo Binti wa watu...? Wewe ndio ulimtongoza na NY*ge zako zikakutuma umle peku.
Sijaona kosa lake Hadi utake kujua afya yake. Kwani ulikuwa na mpango wa kWenge tu mkuuUmri wako tafadhali...! Maana jambo ulilo lifanya ni la kitoto sana, jukumu la kujilinda afya Yako ni lako mwenyewe. Sasa what if ungekutwa umeambukizwa ungemfanyaje huyo Binti wa watu...? Wewe ndio ulimtongoza na NY*ge zako zikakutuma umle peku.
Sijaona kosa lake Hadi utake kujua afya yake. Kwani ulikuwa na mpango wa kumuoa...?
UnasemaaaaMaambulizi sex continues Kwa miaka 3
Kama unaniongelea mmMimi jana nilienda hospital baada ya kuona sijielewi mwili ulipoanza kukosa nguvu na kuanza kama kupepesuka nilionana na dr akaniandikia vipimo vitatu kimoja cha mkojo vilivyobaki ni vya damu ..nakuja kupewa majibu nikaanza kupata nguvu sehemu ya kupanda boda boda mimi nikatembea kwa miguu kwa furaha niliyokuwa nayo punde si punde njiani ..mawazo yakarudi dr amekudanganya si unaona alivyokuwa anakuangalia kwa huruma kaogopa kukupa majibu yako mawazo yakarudi tena mwili ukaanza kuchoka tena kama mwanzo dahhhh nyie acheni tu..
Na wewe situation kama hii imekuapata?Kama unaniongelea mm
Mkuu iyo hali ni hatari asikuambie Mtu mimi nilishaanza kujiunga na magroup ya wenye HIV HIV kwenye facebook yani nilikuwa najiisi ninao..Napitia hichi kipindi ila nilianza kutumia Pep baada ya masaa 36 ambao ndio muda niliompima nikakuta anao na hakuwa akijua kama anao, hapo nilimwita siku iliyofuata ili tukiwashe tena ndio nikapata wazo la kujihakikishia usalama, aisee naomba muda ukimbie nijue status yangu maana ninavokonda kila siku watu wananiuliza nina shida gani
KabisNa wewe situation kama hii imekuapata?
Na wewe situation kama hii imekuapata?
Salama mkuu
Unanikumbuka mkuuSalama mkuu
Nashkuru naon na ku text lakin kimySalama mkuu
Vp mkuu Pep zilikusaidiaNapitia hichi kipindi ila nilianza kutumia Pep baada ya masaa 36 ambao ndio muda niliompima nikakuta anao na hakuwa akijua kama anao, hapo nilimwita siku iliyofuata ili tukiwashe tena ndio nikapata wazo la kujihakikishia usalama, aisee naomba muda ukimbie nijue status yangu maana ninavokonda kila siku watu wananiuliza nina shida gani
Yes kiongozi nlipima after 3 months february nilikua salama kabisa na sasa sirudii tena kuuza mechi maana ilikia second time nauza game af napima mtu namkuta nayo hivyo nishameza pep mara mbiliVp mkuu Pep zilikusaidia
Mara zote ulikua unapata mchubuko mkuu?Yes kiongozi nlipima after 3 months february nilikua salama kabisa na sasa sirudii tena kuuza mechi maana ilikia second time nauza game af napima mtu namkuta nayo hivyo nishameza pep mara mbili
Michubuko inayopokea infection huwezi kujua imetokea au hijatokeaVp
Mara zote ulikua unapata mchubuko mkuu?